Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,125
Ndoto nyingine bana..ndoto kichaa hizi lol..sasa leo mnapigwa hapa na Spurs, halafu unajua zimebaki mechi ngapi?Best unatafuta ninikwenye thread yetu, si mnayo ya kwenu nendeni mkajadili hukohuko. Just a joke but but bado tunautafuta ubingwa!