Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mmmhhh!!!! Huyu Austin ni hatari anatakiwa akabwe vzr
This is a winning game
 
Badala ya Kuingia Vitani na Mizinga Mpaka Kuitwa Kikosi cha Mizinga! Hatimae Waingia Vitani Na Mapanga na Kuitwa Kikosi Cha Mapanga...
😀😀 😀
 
Jana Chelsea walkua wanasema tutarudisha ila mpaka 90+5 game ni 1-0 waliibuka na kauli asiyekubali si mshindani, wakajificha kwenye shamba la karanga(Babu Seya)
 
Tuna struggle!
Arsenal.... Arsenal...Juzi wanakufurahisa, jana kipigo, leo frustrations!
Bado dk 45 waonyeshe tofauti..
 
Twajuwa The Saints wagumu, ila ni mechi kama hizi twatakiwa kuonyesha na sisi wazuri...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…