Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Well, sio sisi tuliotaka kucheza na hawa BATE, mpirani unacheza na timu uliopangiwa nayo, Reserve team yetu kama kawa inafanya kweli...
COYG
 
Ft
Arsenal 6-0 Bate baritov
12 shots on target
Tuko vzr mno
Tunasubir Sunday na Soton
 
Ft
Arsenal 6-0 Bate baritov
12 shots on target
Tuko vzr mno
Tunasubir Sunday na Soton

Thanks mkuu kwa updates acha usiku huu nizame kutazama magoli nilikua nimelala ndio usingizi umekata hapa,goli la JW10 ni bonge la goli ingawa sijaliona
 
The teams who will now play in the Europa League:
Borussia Dortmund
RB Leipzig
Napoli
Sporting CP
CSKA Moscow
Spartak Moscow
Celtic
Atletico Madrid
 
Jack Wilshere na Theo Walcott wanatumai kwamba meneja wa Arsenal Arsene Wenger atafurahishwa kiasi cha kuwatumia kwenye mechi baada yao kucheza vyema sana Alhamisi.
Walciheza vizuri sana mechi ya Europa League ambayo walishinda kwa mabao mengi dhidi ya Bate Borisov.
Wawili hao hawajapewa nafasi ya kucheza kikosi cha kuanza mechi Arsenal katika Ligi ya Premia msimu huu, lakini wote wawili walitikisa wavu na kusaidia Arsenal kulaza Bate Borisov 6-0 na kumaliza mechi za Kundi H kwa ushindi.
"Kuna ushindani mkali unapokuwa unachezea Arsenal. Tufanya kadiri ya uwezo wetu kumfanya meneja ajikune kichwa akijaribu kuchagua wachezaji wa kutumia," Walcott amesema.

Wilshere, aliyefunga bao lake la kwanza tangu Mei 2015 aliongeza, "Jambo tunaloweza kufanya tunapopewa fursa na kumfanya meneja ajikune kichwa."
Arsenal walijiweka kifua mbele kupitia Mathieu Debuchy, kisha Walcott akafunga akifuatiwa na Wilshere.

Beki wa Bate Denis Polyakov alijifunga kutokana kwa krosi ya Walcott kipindi cha pili kabla ya Olivier Giroud kufunga mkwaju wa penalti baada ya Nemanja Milunovic kumwangusha Walcott.

Mohamed Elneny aliongeza la sita baada ya kupokea mpira kutoka kwa a Wilshere.
Baada ya Arsenal kulazwa 3-1 na Manchester United nyumbani wikendi, ilikuwa fursa kwa baadhi ya wachezaji waliowekwa pembeni kung'aa.
Wenger alifanya mabadiliko 11 kwenye kikosi chake kilicholazwa na United kwa mechi hiyo ya Alhamisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…