Nafikiri ungejibu..... oll guy ungekuwa umefanya la maana..... jibu kilichokuwemo kwenye hio comment tuone how old are you.Hii comment yako tayari ilishakuondoa kwenye mizani ya kujadiliana na mimi, kivipi niendelee kubishana na kitoto cha juzi ambacho hakijui chochote kuhusiana na invincible side iliyoweka record isiyovunjwa kwenye historia ya EPL?
Ndebile mie au weye sasa 😀 😀 😀 😀 😀 premier league back to back 2002/03 na 03/04? Are you sure unachoandika lakini? hebu usinichekeshe we koroma, kutaka kujifanya unajua mpira zamani kumbe ata hujui kitu.....Unasemaje? Arsenal hajawahi kuchukua EPL back to back!!? Kumbe misimu ya 2002/2003 na 2003/2004 ule ubingwa ulichukua wewe eti ehee? Nini maana ya back to back kwako!!?
Kijana nakuomba umalize kwanza kidato cha NNE ndio uje kujadiliana mpira na mimi, nabishana na ndebile tu hapa.
Halafu pia naomba hii ndio iwe mara ya mwisho kuninukuu. Ni kupoteza nguvu na muda tu kuendelea kubishana na wewe.
Halafu nakulekebisha tena mpira hatuhesabu mwaka bali tunahesabu seasons
Halafu mbona unarudi kwenye best player si umesema nikutolee mfano wa timu nikakutolea
Hili jamaa mbona linajizungukamaneno yameisha nn
Eti man city na Chelsea wana ubabe gn England hao?
Waliopanda daraja majuzi au kisa
Walikugegeda
Naona ulishajiandaa kwa kisago j2
Wenzako wa liverpool washasepa humu we bado unajitia king'ang'anizi sana
Mtu mwenyewe discharged unatutajia vitu vya ajabu ajabu hapaWw hujishutukii 2 au
Funga kopo lala
Unajua maana ya neno almost?Kama hujui kitu ni bora ukae kimya, timu iliyomaliza na point 89 ime draw half ya game zake???
U are making yourself look like a joker in here, when will you accept the tide has turned? Yes man city na chelsea zimekuja juzi tu, they won the titles, you are 13 years with no title. Chelsea ya Juzi lakini ina champions League, wewe mwenzangu wa zamani una nini? kutwa unatolewa round of 16, sasa unataka kujifananisha wewe na chelsea saiv? au Man city? Hizi teams zipo zina fight for dominance of EPL not for the 4th place just to be in UEFA. Na ndio nikasema nazo hazijaweza kwa asilimia 100 kufikia dominance ya Man utd na Liverpool. for 4 seasons tangu aondoke fergie, kombe halitulii, limechukuliwa mara tatu na timu tofauti.
Mkuu kisha tumia akili, wapi nimesema kuwa eti mpira unatizamwa mwaka? au hukuona kuwa nilipotoa mfano wa man city nilisema mwaka ujao akiboronga lakini mwaka jana kafanya vizur hukuelewa? una akili za kinazi tatizo, ndio maana mnajipa misifa msokuwa nayo mwenzako kanipa kali EPL kachukua back to back, yaani hadi ule mwaka alochukuwa man utd amejipa yeye arsenal. Mshachanganyikiwa kama Wenger.
Aliekwambia tumejianda kwa kisago nani? sisi tunacheza strategic football sio possession football, na ndio maana tukawala rungu 3 ambazo zinawauma kuona mpira mlikuwa mnacheza nyie lakini magoli wamepata Man utd EL O EL!
Liverpool labda wapo kimya wanakucheki pembeni jinisi mnavojitamba wakati hamna kitu.
😀 😀 😀 wanapenda kujifariji hawa... kuna mmoja anasema msimu alochukua kombe Man utd amepewa yeye Arsenal 😀Mkuu Mimi Huyo Jamaa Nimempuuza tu baada ya Kumuona Na Tatizo Flani la Kimichezo...
Bali Kwa Udhaifu Wa Kutokufikiri yeye anaona Kupuuzwa ndiyo Kukimbiwa.
Yaani Mkuu Nakushauri Bora Mpuuze Na wewe Haina Haja Kwa Timu Kama Man United Kushindana Na Kigenge Chake.
Hebu Pitia moja ya Reply zake Kaandika Eti Liverpool Ndiyo Timu inayoongoza Kwa Kuchezea Vichapo Vikubwa EPL kisa Nimefungwa 5 na City na 4 na Spurs!!!! Hapa ndiyo nilimuona Kuwa Jamaa Zero Brain 😀😀
Yaani Kasahau Wazi Kuwa Hii Misimi miwili Mfululizo Nampiga NNE, NNE.... Na hapo Nyuma Kidogo tu Nilimpiga TANO... Na Nyuma Tena Kidogo tu Kaliwa 8 na Man United....
Tetesi
Meneja wa Manchester City Pep Guardiola atarudi na ofa kubwa ya kumsaini mshambuliaji wa Arsenal na Chile Alexis Sanchez, 28, mwezi Januari. (Independent)
Acha kupotosha umma, Arsenal hajachukua back to back EPL tangu 1992.Hii comment yako tayari ilishakuondoa kwenye mizani ya kujadiliana na mimi, kivipi niendelee kubishana na kitoto cha juzi ambacho hakijui chochote kuhusiana na invincible side iliyoweka record isiyovunjwa kwenye historia ya EPL?
Unasemaje? Arsenal hajawahi kuchukua EPL back to back!!? Kumbe misimu ya 2002/2003 na 2003/2004 ule ubingwa ulichukua wewe eti ehee? Nini maana ya back to back kwako!!?
Kijana nakuomba umalize kwanza kidato cha NNE ndio uje kujadiliana mpira na mimi, nabishana na ndebile tu hapa.
Halafu pia naomba hii ndio iwe mara ya mwisho kuninukuu. Ni kupoteza nguvu na muda tu kuendelea kubishana na wewe.
Tutawachapa tu spursArsenal 15:30 Spurs
Siku ile ulivyomzungumzia Pogba nilijua ni bahati mbaya ila hii ya leo imenifanya nione si bahati mbaya. Hivi unaweza kulunganisha mafanikio ya Man Utd na Arsenal? Kipi ambacho Arsenal anamzidi Man Utd? Hata wenzio wa Arsenal wanakushangaa.Naona una matatizo makubwa sana ya comprehension
Halafu pia umekomaa kuongelea old glories utafikiri labda arsenal haina mafanikio yoyote hivi karibuni unashangaza jamaa. Kwanza kwanini unauliza mafanikio ya arsenal kwa miaka 10 iliyopita? Kwanini isiwe kwa miaka 20 au zaidi iliyopita huko?! Kwa taarifa yako kama ni kuongelea old glories basi arsenal inayo ya kujivunia ambayo hata timu yako ya man u haijawahi ya kuyaguasa wala haitokaa iyaguse mpaka dunia inafika mwisho.
Na nyie ni mafanikio gani ya kutisha hasa mlioyonayo kwa miaka minne iliyopita? Kama ni EPL drought basi hata nyie mko mbioni au ulioni hilo!? Huu msimu wa nne na nyie mkiwa mnasindikiza tu.
Mmeishia kusajiri wachezaji kwa gharama kubwa na bado timu incheza mpira MBOVU eti ilimradi magoli kwa hiyo msipofunga hakuna cha maana mnacho furahia..!! Arsenal hana strategy kwa mujibu wako lakini angalau hachezi kama FC MAKAMBAKO.
Unajiaibisha. Arsenal hajawahi kushinda EPL back to back. NEVER!Hii comment yako tayari ilishakuondoa kwenye mizani ya kujadiliana na mimi, kivipi niendelee kubishana na kitoto cha juzi ambacho hakijui chochote kuhusiana na invincible side iliyoweka record isiyovunjwa kwenye historia ya EPL?
Unasemaje? Arsenal hajawahi kuchukua EPL back to back!!? Kumbe misimu ya 2002/2003 na 2003/2004 ule ubingwa ulichukua wewe eti ehee? Nini maana ya back to back kwako!!?
Kijana nakuomba umalize kwanza kidato cha NNE ndio uje kujadiliana mpira na mimi, nabishana na ndebile tu hapa.
Halafu pia naomba hii ndio iwe mara ya mwisho kuninukuu. Ni kupoteza nguvu na muda tu kuendelea kubishana na wewe.