Na kama mlikuwa hamjuwi, li babu linatufanyia makusudi, lajuwa limeleta maendeleo kama haya, halitaki kocha mwingine afaidi! jinga kweli...Lajuwa kabisa kocha mwingine akija na kukuta miundo mbinu hii na mingine, mbona kingeeleweka..
Na kama mlikuwa hamjuwi, li babu linatufanyia makusudi, lajuwa limeleta maendeleo kama haya, halitaki kocha mwingine afaidi! jinga kweli...Lajuwa kabisa kocha mwingine akija na kukuta miundo mbinu hii na mingine, mbona kingeeleweka..
Na kama mlikuwa hamjuwi, li babu linatufanyia makusudi, lajuwa limeleta maendeleo kama haya, halitaki kocha mwingine afaidi! jinga kweli...Lajuwa kabisa kocha mwingine akija na kukuta miundo mbinu hii na mingine, mbona kingeeleweka..
Alipomnunua N. Anelka kwa pauni 500,000 tu afu akamuuza Madrid pauni 22m, cash wakanunua London colney! Mara paap wakakopa kujenga Emirates, kutahamaki deni limeisha! Wenger anawafanya wale maboss anavotaka!