Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii mizuzu kumbe inafanyaga makusudi! tushajuwa..subiri dawa yao...
 
FT
Arsenal 2-0 Spurs
Good game lads
tumestahili ushindi kwa game ya leo wachezaji walikua kwenye good mood leo wameutendea haki NLD.
 
Na kama mlikuwa hamjuwi, li babu linatufanyia makusudi, lajuwa limeleta maendeleo kama haya, halitaki kocha mwingine afaidi! jinga kweli...Lajuwa kabisa kocha mwingine akija na kukuta miundo mbinu hii na mingine, mbona kingeeleweka..
Babu yupo sana. Na huu plus Highbury estates ndio uchawi wake!
 
Na kama mlikuwa hamjuwi, li babu linatufanyia makusudi, lajuwa limeleta maendeleo kama haya, halitaki kocha mwingine afaidi! jinga kweli...Lajuwa kabisa kocha mwingine akija na kukuta miundo mbinu hii na mingine, mbona kingeeleweka..
Alipomnunua N. Anelka kwa pauni 500,000 tu afu akamuuza Madrid pauni 22m, cash wakanunua London colney! Mara paap wakakopa kujenga Emirates, kutahamaki deni limeisha! Wenger anawafanya wale maboss anavotaka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…