Arsenal ni timu nzuri sana. Mchezo wao leo ulikuwa mzuri bali referee kawatibulia ndiyo maana hata mchezaji wa Man city mmoja kaongelea hilo pia. Ktk magoli matatu moja tu ndio sahihi.
Kuwa referee ni zaidi ya kazi. Aliwatoa mchezoni .Still ni timu nzuri changes ni chache sana.