Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mwaka huu ni maalum kwa Arsenal kuchukua ubingwa wa EPL kama kocha Arsene Wenger ataongeza baadhi ya wachezahi katika kikosi chake.
Wafuatao ni wachezaji ambao kama wakiingia Emirate,basi ubingwa upo nje nje.
1.Thomas lemar na
2.Jean michael Seri
Pia kama Arsenal itafanikiwa kuongeza mkataba na Alexis na akaendelea kusalia Emirate Epl itakua mikononi mwa Arsenal.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mm ntaipenda arsenali atakama ikishuka daraja bado ntaishabikia tuu
 
Hii tweet ni ishara kuwa ameenda kufanya majadiliano na PSG?

Babu akiulizwa anatujibu hauuzwi. Ila binafsi kwa ambae miezi 12 ijayo anakuwa huru 80 ni nyingi sana kuikataa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii tweet ni ishara kuwa ameenda kufanya majadiliano na PSG?

Babu akiulizwa anatujibu hauuzwi. Ila binafsi kwa ambae miezi 12 ijayo anakuwa huru 80 ni nyingi sana kuikataa

View attachment 564855

Sent using Jamii Forums mobile app

PSG wamefika 80..?mimi naamini ni wakati wa kumuacha uyu Alexis asepe tu hakuna haja ya kukimbizana nae tena,leo sijapita twitter kule ngoja nikaone maoni ya viona mbali.
 
Arsenal inatakuwa timu ya nne au ya tano mwisho wa ligi. Lakini haiwezi kushinda ligi. Manchester City, Manchester United and Tottenham are better team than Arsenal. Haya ni maoni yangu. Sababu: Their defence is not as good as other top teams.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…