Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Line-up against Chelsea.
100b407e516fdf6e787398426e19d2dc.jpg

AW anachowaza anakijua mwenyewe,all the best lads...COYG
 
Walambishwe machanga kwa line-up hiyo? Dah huyu Mzee sijui anatutaka nini aisee

No Ozil,Ramsey,Kos na Sanchez hee hee hee AW anajiamini sana,ila mara nyingi anatoboa na vikosi vya namna hii ingawa game tunaangalia kwa presha mwanzo mwisho.
 
Per OUT amejuruhiwa anaingia Kolasinac.
Dakika ya 31
Arsenal 0-0 Chelshea
 
Kipindi cha kwanza tulikua sharp zaidi ya chelsea hasa tunaposhambulia ila tulitetereka kidogo alipotoka per
Kweli mmecheza vizuri watani ila kasi kidogo bado mngeweza kupata bao kipindi hicho mngekuwa mmejiweka pazuri so far kila la kheri.
 
Back
Top Bottom