Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

article-1262687-08F386D4000005DC-250_468x227.jpg

Spot on - Fabregas smashes his penalty past Barcelona keeper Victor Valdes

This is ... ... ... whats up mate? Goli lililomnyima raha peasant et al.
Hahahahaha! You must be a joker! Poleni lakini maana Fabregas na Gallas ndio basi. What you prayed to happen to Rooney came back to haunt you....well just principles of karma....or you got the taste of your own medicine!
 
lionelmessicelebrate_2439826.jpg


Messi "The Destroyer" wheels away after scoring the equalizer......



lionelmessisecondgoal_2439827.jpg


He makes it two.....



lionelmessihattrick_2439828.jpg


.....and completes his hat-trick with a wonderful chip....but,... hang on a minute.......


lionelmessifourthgoal_2439844.jpg


He strikes his fourth goal to send the PRETENDERS back to REALITY
 
ha ha ha duuh ,kama jf ingekuwa hewani juzi naona kusingekalika humu ndani. peasant nakuona ushaweka kambi ha
There are currently 2 users browsing this thread. (2 members and 0 guests)
 
Hahaaaaaaaaaa...Peasant bana,utafikiri Chelsea hawakutolewa....Anyways...hata hivyo Lionel messi ni habari nyingine bana...Unstoppable,hahaaaaaa...Tugange yajayo basi
 
Hahaaaaaaaaaa...Peasant bana,utafikiri Chelsea hawakutolewa....Anyways...hata hivyo Lionel messi ni habari nyingine bana...Unstoppable,hahaaaaaa...Tugange yajayo basi

messi kiboko yane SONG si unaona alivyofichwa game ya kwanza .washukuru sana SONG alikuwa hayupo .
 
ha ha ha duuh ,kama jf ingekuwa hewani juzi naona kusingekalika humu ndani. peasant nakuona ushaweka kambi ha
There are currently 2 users browsing this thread. (2 members and 0 guests)
Hahaaaaaaaa...Sipati picha na ile siku ya game na Man Utd ambayo Chelsea walishinda(kwa kubebwa na Refa na msaidizi wake) ingekuwaje.....
 
Hahaaaaaaaa...Sipati picha na ile siku ya game na Man Utd ambayo Chelsea walishinda(kwa kubebwa na Refa na msaidizi wake) ingekuwaje.....
nomaa mkuu.jumatatu ilivyofika bado jf haipo hewani nikasema bora sasa ikae tu mpaka tumalize wimbi la champions league kwanza lol.
 
Teh teh teh nilifurahia sana one two kati ya Silvester na Mesi, nadhani Silvester ni chezaji mzuri sana anaweza badili matokeo muda wowote wa mchezo! Thank you Silvester wa Fat Arse Anal
 
hii lazima ipewe nafasi kidogo maana haikupata kujadiliwa, shukuruni JF ilikuwa haiko hewani....lol
 
Kipigo cha Mbwa Mwizi....Mesi four goals ile aibu, kila timu ina majeruhi wala hiyo si sababu!
 
Teh teh teh nilifurahia sana one two kati ya Silvester na Mesi, nadhani Silvester ni chezaji mzuri sana anaweza badili matokeo muda wowote wa mchezo! Thank you Silvester wa Fat Arse Anal

Dah........Haya bana
 
pole sana jirani. nafikiri siku hiyo ulinyong'onyea sana!
 
hii lazima ipewe nafasi kidogo maana haikupata kujadiliwa, shukuruni JF ilikuwa haiko hewani....lol

Hata hii pia ipate nafasi ya kujadiliwa....

Referee Mike Dean demoted after Manchester United v Chelsea errors
• Assistant referee Beck also dropped
• United manager Ferguson criticised both officials

The Premier League referee Mike Dean has been demoted to the Championship this weekend, as a punishment for his erratic display in Manchester United's 2-1 defeat by Chelsea at Old Trafford last Saturday.

Simon Beck, an assistant referee in the same match, will join him in the second tier after failing to raise his flag when Didier Drogba was clearly offside for Chelsea's second goal. The pair will take charge of Bristol City's home game against Swansea on Saturday.

After the United vs Chelsea match the two officials were criticised by Sir Alex Ferguson for their "poor, poor performance". United's manager was also unsparing in his match report to the Premier League. However, Professional Game Match Officials Limited decided the mistakes were serious enough to demote Dean and Beck without any interference from Old Trafford.

Beck has not been informed when he will next be involved in a Premier League match and is missing from the list for next week's midweek fixtures. Dean, a member of the elite group of Fifa referees since 2002, will be the fourth official for Wigan Athletic's home game against Portsmouth on Wednesday 14 April.

It follows Dean's failure to award penalties for United, when Yuri Zhirkov tripped Park Ji-sung, and Chelsea, when Gary Neville barged into Nicolas Anelka. The 41-year-old also allowed Federico Macheda's goal to stand, rather than awarding a handball against the teenager.

Dean's appointment for such an important game had come under scrutiny because of his performance in Burnley's 1-0 defeat by Blackburn Rovers the previous weekend.

Brian Laws, the Burnley manager, said Dean had been "conned" into awarding a match-winning penalty when Martin Olsson went to ground despite there being no contact from the goalkeeper, Brian Jensen. Olsson has since admitted that he went into the game aware of Dean's reputation for awarding penalties.

Laws said Dean's subsequent appointment to the biggest match of the Premier League season to date was "mad".

After the loss to Chelsea, Ferguson said: "When I saw it was Mike Dean I did worry, I have to say."
 
hahahaha! jaribu kuwa fair hapo, najua ulikuwa unaombea sana draw....mbona husemi kama goli la Manure Macheda alifunga kwa MIKONO?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom