Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Haina kitu
Alonso alipaisha freekick kama hana akili nzuri.
Alonso alipaisha freekick kama hana akili nzuri.
Pamoja na hayo sioni Chelsea kama ana ubavu wa kushinda hii mechi. Welbeck uchoyo apunguze angetoa pande pengine wangeliongeza la piliHT
Arsenal 1-0 Chelshit
Kulikua na nafasi za kua mbele kwa goli zaidi ya 1 ni kutokua tu makini kwa wachezaji.