McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
Duh Kreonke kubali yaishe basi kuna maisha nje ya Arsenal.
kashaikataa hiyo dili huyo falaView attachment 511603
View attachment 511602
Duh Kreonke kubali yaishe basi kuna maisha nje ya Arsenal.
kashaikataa hiyo dili huyo fala
nimeona metro
kapanda hadi £2bilNimeona swahiba uyu mwehu nasikia kasema "Arsenal is not for sale" duh na anavyojua fitina sioni kama atakubali.
Please! Please! Kroenke kubali.kapanda hadi £2bil
metro
Up his ass!Wenger atoa Onyo kwa Chelsea.
Arsene Wenger amewapongeza Chelsea kwa kutwaa Ubingwa wa EPL lakini amewaonya kwamba msimu ujao hautokuwa rahisi hasa ikizingatiwa kwamba watakuwa na mashindano ya UEFA pia.
The Blues wametwaa taji la pili la EPL ndani ya miaka mitatu bila ya kucheza Ulaya msimu huu na wanaweza angalau kumaliza juu kileleni kwa tofauti ya pointi 12 dhidi ya Gunners ambao wenyewe bado wanapigania kumaliza nafasi nne za juu.
Wenger anaamini kwamba timu kama Real Madrid na Bayern Munich wapo imara sana Ulaya kwasababu hawalazimiki kucheza katika kiwango cha juu sana katika ligi za nyumbani kupata matokeo baada ya Gunners kuondolewa hatua ya 16 katika mikono ya Wajerumani.
Kuelekea mechi ya EPL siku ya jumanne dhidi ya Sunderland Wenger amesema," Chelsea wamefanya vizuri. Hongera zao."
"Lakini katika misimu miwili iliyopita timu ambazo zilikuwa hazichezi Ulaya zimetwaa taji la EPL"
"Utakuwa msimu tofauti kwasababu watalazimika kucheza Jumamosi - Jumatano - Jumamosi kwasababu ya mechi za UEFA."
"Nahisi nchini Hispania, Real Madrid wanaweza kushinda mechi wakicheza katika daraja la wastani kuliko Uingereza. Labda pia ni wazuri kuliko sisi."
"Bayern pia ni sawa na Madrid - Wanatawala ligi ya Ujerumani kwa urahisi sana."![]()
Kabisa, kama tumecheza kwa muda wa miaka ishirini na kufika mbali mara mbili tu, hatustahili kwa kweli. Ngoja tujaribu futuhi huku wenger akiendelea kuburuzwa, arsenal tutabadilika na kuwa tena timu ya kugombea vikombe wenger alitoka.Bora hta tusiende champions league maana ni vipigo tu kila mwaka so haina maana hta kushiriki!!
Utashangaa buyern wanatolewa makundi nafasi ya tatu na kudondokea huko huko.Bayern Munich watawafuata hukohuko
Una maana goli 10 zinajirudia tena mwakani 😀😀😀😀...... huu ni uchochezi mkuuUtashangaa buyern wanatolewa makundi nafasi ya tatu na kudondokea huko huko.
Dah natamani arsenal tupate kocha kma simeone ili tusajili wachezaji wa ''kazi kazi'' ili timu ipate muamko mpya kma enzi za mijitu kma lauren,cygan,vieira,campbell,keown n.k dah ila kwa kikosi hiki cha wauza sura kma bellerin,gibbs na Oxlade sioni wapi tunachukua ligi ndani ya karne hiiKabisa, kama tumecheza kwa muda wa miaka ishirini na kufika mbali mara mbili tu, hatustahili kwa kweli. Ngoja tujaribu futuhi huku wenger akiendelea kuburuzwa, arsenal tutabadilika na kuwa tena timu ya kugombea vikombe wenger alitoka.
Ni wenger aondoke tu, aje mtu wa kazi kazi, Simeone akipewa na pesa ya kupata wachezaji anaowataka, timu itarudi kwenye heshima yake! Hii timu ya sasa wa kubaki ni Cech, Sanchez na Kolsielny!Dah natamani arsenal tupate kocha kma simeone ili tusajili wachezaji wa ''kazi kazi'' ili timu ipate muamko mpya kma enzi za mijitu kma lauren,cygan,vieira,campbell,keown n.k dah ila kwa kikosi hiki cha wauza sura kma bellerin,gibbs na Oxlade sioni wapi tunachukua ligi ndani ya karne hii
Hawa jamaa tukiwa na wenger tumewashindwa, tulikuwaga tunadai sababu tunamaliza wa pili, tukimaliza wa kwanza ktk kundi wao wanakuwa wa pili, tunakutana nao na safari yetu inaishiaga hapo.Una maana goli 10 zinajirudia tena mwakani 😀😀😀😀...... huu ni uchochezi mkuu
Bellerin ni mzuri sana, Cech kachoka mno, bado tunamuhitaji Mtakatifu Carzola japo injury hua hazimwishi. Pia naamini kua Chamberlain ni aina ya mchezaji ambae akipata cocha kwenye hamasa anaweza kuleta matokeo. Wengine wote wasepe, hawana quality ya kuwepo Arsenal.Ni wenger aondoke tu, aje mtu wa kazi kazi, Simeone akipewa na pesa ya kupata wachezaji anaowataka, timu itarudi kwenye heshima yake! Hii timu ya sasa wa kubaki ni Cech, Sanchez na Kolsielny!
Lee Dixon, winterburn,Tony Adams, keown, hii ndio beki bora ya arsenalDah natamani arsenal tupate kocha kma simeone ili tusajili wachezaji wa ''kazi kazi'' ili timu ipate muamko mpya kma enzi za mijitu kma lauren,cygan,vieira,campbell,keown n.k dah ila kwa kikosi hiki cha wauza sura kma bellerin,gibbs na Oxlade sioni wapi tunachukua ligi ndani ya karne hii
Dah walikuwa hatari sana hao..... afu mbele tukapata mtu kma ian wright, alan smith au thierry henry!!!! Mbona the invicibles class of 2004 itajirudiaLee Dixon, winterburn,Tony Adams, keown, hii ndio beki bora ya arsenal
Kabisa aiseeDah walikuwa hatari sana hao..... afu mbele tukapata mtu kma ian wright, alan smith au thierry henry!!!! Mbona the invicibles class of 2004 itajirudia
Kumbe nyie ni Arsenal wenzangu?Hawa jamaa tukiwa na wenger tumewashindwa, tulikuwaga tunadai sababu tunamaliza wa pili, tukimaliza wa kwanza ktk kundi wao wanakuwa wa pili, tunakutana nao na safari yetu inaishiaga hapo.
Bellerin ni mzuri sana, Cech kachoka mno, bado tunamuhitaji Mtakatifu Carzola japo injury hua hazimwishi. Pia naamini kua Chamberlain ni aina ya mchezaji ambae akipata cocha kwenye hamasa anaweza kuleta matokeo. Wengine wote wasepe, hawana quality ya kuwepo Arsenal.