Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama kawaida yake Wenger anatetea kibarua chake vizuri
 
FT
Arsenal 5-0 Lincoln City
Walcot
Giroud
Waterfall (OG)
Sanchez
Ramsey
Kipindi cha pili timu imeonyesha uhai na kutumia vema nafasi zilizopatikana ingawa kulikua na nafasi nyingi za magoli,J3 draw ya FA tutajua tunakutana na nani ingawa iko wazi FA semi final itakutanisha vigogo this time,tukutane Wembley Stadium.
 
Kama kawaida yake Wenger anatetea kibarua chake vizuri

Akipigwa lazima mpige kelele na akishinda pia mnapiga kelele heeeee heeeee waacheni Arsenal na AW wao maana kama leo Lincoln angeshinda pia ungejua kumnanga AW ishakua ni maisha yenu ya kawaida sasa.
 
Akipigwa lazima mpige kelele na akishinda pia mnapiga kelele heeeee heeeee waacheni Arsenal na AW wao maana kama leo Lincoln angeshinda pia ungejua kumnanga AW ishakua ni maisha yenu ya kawaida sasa.
Mimi napenda aendelee kubaki tuendelee kufurahi
 
Kuna mchezaji anaitwa Walcot dk za lala salama anaonyesha kiwango cha hatari Wenger anasema asiuzwe huyu .mwanzo wa ligi anajua mwenyewe anachokifanya
 
Mashabiki wa Arsenal ni kama hawajui wanachokitaka...wenda wanataka ushindi, vikombe, Wenga atoke, kocha mmbadala au Wenga abaki au vyote kwa pamoja.

Yaani lazima huyu bwana mkubwa Wenga lazima atakua anatumia mzizi make haiwekani watu wanaokuimba kila siku utoke ukawasaulisha kwa mechi moja tena na timu ndogo kama ZENECO.
 
nikijisikia kucheka badala ya kuangalia katuni au kuingia jukwaa la jokes huwa naingia humu jukwaa la arsenal
 
When you gò One 2 One with Xhaka.
e8e601151f9fc4e50f60cafd954c00d5.jpg

New version ya Viera,Arteta & Flamin na kadi bado zinaendelea kwa uyu mhuni.
5db955557ac741de37a43ac9c487f1fa.jpg
 
Back
Top Bottom