Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hakunaga mtu mwenye wivu na mshindwa!!!mnashindwa kila siku nani awaonee wivu??pia mambo ya mpunga safi washabiki hawapati huo mpunga..mshabiki anachopata ni kusherehekea ubingwa....sasa ukimuambia asubiri miaka 4 ni kumkwaza!!!hongera lakini kwa kuwa diehard fan wa gunners
Ndio wivu wenyewe huo. Mafanikio ya Arsenal so far unayaonea gere, hakuna aliyekukaribisha kwenye jukwaa la Gunners, umekuja mwenyewe kwa hiari yako. Pilipili iko Emirates wewe inakuwasha hata sijui unatoka wapi? What a loser!
 
upload_2017-2-28_13-23-59.png


Ramsey believes Prof has been a great Manager for the Gunners and himself. He also says players are letting him down.
 
Ndio wivu wenyewe huo. Mafanikio ya Arsenal so far unayaonea gere, hakuna aliyekukaribisha kwenye jukwaa la Gunners, umekuja mwenyewe kwa hiari yako. Pilipili iko Emirates wewe inakuwasha hata sijui unatoka wapi? What a loser!

mafanikio gani ya Arsenal ya kuyaonea gere!!???kuchukua Ubingwa wa Ulaya mara 0 na kuzidiwa hata na Aston villa na Nottingham Forest kwa mafanikio ulaya???Au Kuchukua ubingwa wenu wa 4th place kila mwaka???wewe hujawahi kuingia jukwaa la Manchester United??mbona ktk ushabiki wa soka ni kawaida kutembelea majukwaa ya wapinzani wako???
 
mafanikio gani ya Arsenal ya kuyaonea gere!!???kuchukua Ubingwa wa Ulaya mara 0 na kuzidiwa hata na Aston villa na Nottingham Forest kwa mafanikio ulaya???Au Kuchukua ubingwa wenu wa 4th place kila mwaka???wewe hujawahi kuingia jukwaa la Manchester United??mbona ktk ushabiki wa soka ni kawaida kutembelea majukwaa ya wapinzani wako???

Ndio wivu wenyewe huo, kwani wewe mafanikio huwa unapima kwa namna gani? Mbona huongelei records za Gunners ambazo zinaeleweka? Wivu kitu kibaya sana. Mosi angalia maana ya mafanikio, pili usiwe na kiherehere. Mkuu yaani hapa mimi naangalia mambo ya timu maarufu na bora nianze kubangaiza na kwenda kwenye vitimu koko kama hicho kiraka unachokiongelea, hayo ni maajabu ya dunia.

Mtakonda sana na Le Prof maana at Gunners we have got class, and you know what? You will never get that anywhere else. That's why Le prof has been credited for revolutionizing the premier League.

Ding ... Dong.
 
Kesho mnapigwa na liver afu na UEFA bado inawasubiri hahahaa Mungu awahurumie naiona nafasi ya sita mnaachiwa na man u
 
upload_2017-3-3_21-25-37.png


The boys were taking last minute training ... ..... .

upload_2017-3-3_21-26-49.png


upload_2017-3-3_21-27-8.png


upload_2017-3-3_21-27-46.png


upload_2017-3-3_21-28-0.png


upload_2017-3-3_21-28-19.png


upload_2017-3-3_21-28-32.png


upload_2017-3-3_21-28-50.png


upload_2017-3-3_21-29-6.png


upload_2017-3-3_21-29-28.png


upload_2017-3-3_21-29-50.png


upload_2017-3-3_21-27-24.png

Prof alikuwepo .... ...... .......
 
We gonna whoop liverfool's ass today.

[HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]
 
Kule mtaa wa pili wameingiwa na hofu kubwa kuhusu hii mechi. Namuona Malafyale kitumbo joto.
 
Back
Top Bottom