Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger hata kma tumeshinda jana, tupishe jaman umetosha hapo ulipofikia
 
16681715_1950471848510203_4860572403688388104_n.jpg
 
Arsenal ni Private club inayomilikiwa na Kronke, matajiri wakubwa wanainyatia ili waweze kuwa na mamlaka kwa sababu ya kuendeshwa vizuri sana na Prof. Wanatengeneza mpunga safi sana na kukuza vipaji vya wachezaji na ushindani katika soccer. Watu wanaona vinaelea tu hawafahamu kwamba vimeundwa. Prof amesema anahitaji miaka 4 (Four more years), tusubiri mwenye mali atasema nini chichi wengine ni ushabiki tu. khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Wenye wivu wakajinyonge.
 
upload_2017-2-21_11-36-8.png


Arsenal star Alexis Sanchez is flanked by security as Arsenal arrived at Gander Green Lane

upload_2017-2-21_11-36-52.png


The Gunners were followed by personal bodyguards for the FA Cup fifth round clash at Sutton
''Sutton manager Paul Doswell labels Arsenal's 'James Bond security' as bizarre.''
 
KAMA WEWE NI MPENDA SOKA NA MTU WA KUBASHIRI/ TIPSTER WA GAME ZA MATAIFA MBALIMBALI TENGENEZA PESA NYINGI KWA KIFWATILIA TIPS ZA WWW.BONGOTIPS.COM NA JIUNGE KATIKA SITE KWA KUSIGN UP NA KUJAZA TAARIFA ZAKO UWEZE KUPEWA UKURASA NA ACCOUNT YAKO YA KUBASHIRI GAME BILA MALIPO YOYOTE ILA ATAKAYE TAKA KUONA BASHIRI ZAKO ATATOZWA HELA AMBAYO UTAIPATA WEWE MTABIRI WA HIZO GAME . KWA MAELEZO ZAIDI PIGA 0718445962 AU TUFWATILIE PIA FACEBOOK , TWITER, GOOGLE+ KWA KUANDIKA BONGOTIPS BETTING PREDICTION
 

''Arsène Wenger has rejected a stunning offer from China to make him the highest-paid manager in the world since revealing he will not retire, whether or not he remains at Arsenal beyond the end of the season. An unnamed Chinese club were prepared to pay Wenger £30 million-a-year net, twice the salary of the current best-paid manager, Manchester City’s Pep Guardiola. The offer dwarves the two-year extension that Arsenal have offered Wenger, which would pay him about £10m-a-year, but joining the Chinese football revolution is not an attractive proposition for him.

Wenger has yet to decide whether he will stay at Arsenal next season and club insiders are growing increasingly anxious that he will decide to walk away. The manager has insisted he is not ready to retire and will be in management next season, which sparked the enormous offer from the Chinese Super League club. But Wenger has rejected the interest while he concentrates on the remainder of the season with Arsenal. Even if he leaves the Emirates in the summer, Wenger would most likely snub any renewed offer from China in favour of taking a job in one of Europe’s top leagues. Real Madrid, who have tried to appoint him in the past, is thought to be Wenger’s preferred destination away from Arsenal if they decided to make a change. Arsenal owner Stan Kroenke remains desperate for Wenger to stay and his two-year contract extension offer includes a 25 per cent increase from £8m-a-year to around £10m-a-year.

That will infuriate fans who believe Wenger should go after perceived failures in the Premier League title race and the Champions League, but the 67-year-old has already proved that his final decision will not be based on money. Meanwhile, former Rangers manager Mark Warburton is a surprise candidate to replace Andries Jonker as the head of Arsenal’s academy.

Arsenal have been forced to find a new academy chief after Jonker took over as Wolfsburg manager and Warburton is high on the list of potential replacements. Warburton left Rangers in acrimonious circumstances earlier this month, with the 54-year-old denying claims from the club that he had resigned. It is unclear whether or not Warburton would accept the academy job at Arsenal, having been linked with a return to management with Nottingham Forest, but sources inside the Emirates believe he would be perfect for the role and he has held talks with the club.
Warburton has developed strong links with Arsenal since launching the old NextGen Series youth competition in 2011 and signed a number of the club’s youngsters while managing Brentford and Rangers.


Should Warburton decide to hold out for a return to management, then Pep Segura, who works in player development at Barcelona, is an alternative outside candidate. Steve Morrow could also be considered for a promotion from his current job as head of scouting for Arsenal’s.''

Top class manager. Ding .... Dong.
 
Arsenal ni Private club inayomilikiwa na Kronke, matajiri wakubwa wanainyatia ili waweze kuwa na mamlaka kwa sababu ya kuendeshwa vizuri sana na Prof. Wanatengeneza mpunga safi sana na kukuza vipaji vya wachezaji na ushindani katika soccer. Watu wanaona vinaelea tu hawafahamu kwamba vimeundwa. Prof amesema anahitaji miaka 4 (Four more years), tusubiri mwenye mali atasema nini chichi wengine ni ushabiki tu. khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Wenye wivu wakajinyonge.
hakunaga mtu mwenye wivu na mshindwa!!!mnashindwa kila siku nani awaonee wivu??pia mambo ya mpunga safi washabiki hawapati huo mpunga..mshabiki anachopata ni kusherehekea ubingwa....sasa ukimuambia asubiri miaka 4 ni kumkwaza!!!hongera lakini kwa kuwa diehard fan wa gunners
 
Back
Top Bottom