Alielegezwa ni Arsenal sio chelsea.Then ni kama Coincidence. Ngwe iliyopita chelsick alitoka kucheza na liverpool baada ya kuchwapwa tukampokea na sie.
This time ni the same liver kamlegeza sie tunammalizia.
Sijui wapangaratiba walifikiria nini kupanga hivi
Usiwe na wasi wasi vijana walipumnzishwa kwa siku mbili, mtazimia tu kesho khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kitaeleweka tu maana asiye na mwana ni lazima aeleke jiwe. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeSawa tutakuwa tunasubiria...halafu ni kwetu.
Khe khe khe khe kheeeeeeeee ngoja nianze mazoezi ya kucheka
Ujanja wa bure kumbe huwa unaangalia record zetu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na bado kitaeleweka tu.Mustafi na karekod chake uchwara kamefikia mwisho leo nyambafuuu
Kutoka kijiwe cha Wenger who?
Kuwa mpole ni swala la muda tuWajukuu wa babu wapo mapangoni
Mbuzi wako analiwa na wajanja leo. Arsenal hii "iliyoifunga" Watford juzi au ile iliyofurahia sare na Bournemouth?Arsenal nawapa karata yangu........nimebeti mbuzi leo.
Msiniangushe!
Hiki ndicho kikosi kilichotupa raha mara ya mwisho tulivyokutana na hawa machalii..Xhaka tu amekosekana hapaOur lineup against Rent boys
COYG.....[emoji123][emoji123]
90 mins.Mbuzi wako analiwa na wajanja leo. Arsenal hii "iliyoifunga" Watford juzi au ile iliyofurahia sare na Bournemouth?