Hahahaaa....imba tendaaa muujizaaa...usiache bwana mechi hii ipite..tendaa muujizaKwa mara ya kwanza nina huzuni na sina imani kabisa ya ushindi kwenye mechi ya leo.
Sijui...labda Mungu tu.
Hahahaaa....imba tendaaa muujizaaa...usiache bwana mechi hii ipite..tendaa muujiza
... Amen 
mtaambulia sale ya moja kwa moja subiri yule Giroud aingie atawasawazishia kwa kichwa............chelsea mabeki siyo wazuri kwa vichwaKwa mara ya kwanza nina huzuni na sina imani kabisa ya ushindi kwenye mechi ya leo.
Sijui...labda Mungu tu.
Ukibana matako utashinda tu haaaaaa.Kwa mara ya kwanza nina huzuni na sina imani kabisa ya ushindi kwenye mechi ya leo.
Sijui...labda Mungu tu.















