Wakuu mpo leo Mesut Ozil anarudi katika kikosi na Olivier Giroud nae anapewa nafasi ya kuanza game, wakati Danny Welbeck anaanza kwenye bench.
Gabby anakwenda kucheza nafasi ya Hector Bellerin upande wa kulia.
Team news.
Swansea
Fabianski, Naughton, Fernandez, Mawson, Kingsley, Ki, Dyer, Cork, Routledge, Sigurdsson, wakati Llorente ndiey anakuwa mshambuliaji wa mbele.
Arsenal
Cech, Gabriel, Mustafi, Koscielny, Monreal, Ozil, Xhaka, Ramsey, Iwobi, Sanchez, na Giroud.
Mwamuzi wa mchezo ni Mike Jones.
Jones si mwamuzi wa kimataifa lakini yumo katika jopo la waamuzi wa ligi zote kubwa za Uingereza.