hatimae tumekuwa majirani.
oh yote yanawezekana mnaweza kujikuta mkashuka zaidi.Tupo hapo kwa wiki na ushee tu si mahali petu hapo. Tunawapashia moto wenye nafasi zao 🙂🙂
oh yote yanawezekana mnaweza kujikuta mkashuka zaidi.
ndiyo ujirani hata wa masaa, na mmeshakuwa sasa na ikiwezekana tutawapisha nafasi yetu ya 6 napo mkae kidogo.Hatutaki ujirani na MANU siye tuko hapo kwa muda tu kabla ya kuchukua nafasi yetu ya juu yenu.
mnaweza kuwepo full kikosi na hayo yakatokea, mpira hauna adabu muda mwingine.Si chini ya hapo labda kuwe na majeruhi ya kutisha.
..kwa arsenal hata uki-Ondoa respect,wanaweza kupigwa tu mfano Juzimnaweza kuwepo full kikosi na hayo yakatokea, mpira hauna adabu muda mwingine.

wanajisaulisha tu...kwa arsenal hata uki-Ondoa respect,wanaweza kupigwa tu mfano Juzi![]()
Hehehehe nasikia mmeshaanza kumnyanyulia mabango mzeeBila kumchomoa Wenger a.k.a Mr Bean tutazidi kwenda chini. Na huu msimu tutaishia kucheza kombe la watoto!!!!
Maumivu ya kichwa huanza polepole mpango wetu ni kuanza kukushusha kisha tunawafuata tot na cityTupo hapo kwa wiki na ushee tu si mahali petu hapo. Tunawapashia moto wenye nafasi zao 🙂🙂
Maumivu ya kichwa huanza polepole mpango wetu ni kuanza kukushusha kisha tunawafuata tot na city
Mkae vizuri sisi break zimekatika halafu kuna hali ya timu kuanza kutukhofia hapo ni mtaji kwetu ila kila la kheri hii JanuaryHahahahaha lol! Utaona speed yetu Mkuu kuanzia January 14 tutatisha sana majeruhi tu ndiyo yanayoweza kupunguza speed yetu.
Mkae vizuri sisi break zimekatika halafu kuna hali ya timu kuanza kutukhofia hapo ni mtaji kwetu ila kila la kheri hii January

