Nifah siku hizi umekimbia jukwaa la man u eehhh..!!Mimi na kaka yangu Mauza uza tulishajikatia tamaa...
Nikamuambia tusife moyo bro,anything can happen.
Daaaaaamn at least tumelala na furaha kidogo kuliko tungefungwa.

Nifah siku hizi umekimbia jukwaa la man u eehhh..!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Mkuu endeleeni kujifariji nafasi ya sita inawahusu saiviGame ya liver na chelsea ndo itaturudisha tena top four
Kutoka 0-0 mpaka 3-0 , happy new year gooner
wachawi mmekosa cha kusema mnaokoteza maneno.![]()
![]()
wachawi mmekosa cha kusema mnaokoteza maneno.
Tungefungwa game ya leo sijui ingekuwaje!
Thank you MentorI must say I was impressed kea kweli. Ofcourse kama shabiki wa Chelsea nimehuzunika kidogo hata kwa hiyo point moja.
Bournemouth walijisahau. Ila lile goli la tatu mngelipata dk 80 ninaamini game wangeshinda. Walilala wakajisahau.
All in all hongereni, that was beautiful. Giroud was man of the match but the man for Arsenal is Sanchez...he was so consistent with going back, picking the ball, dribbling, giving that smart pass sema wapewa pass wenyewe ndo vimeo.
Maombi yenu yawe Sanchez aendelee kuwa fit mpaka mwisho wa league.
Cngrats once more and a happy new year to everyone.
Wewe ni Arsenal ama Man utd???
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Niko 'busy' mkuu.
Sijui ni coincidence gani kila siku ya mechi zenu nakuwa eneo korofi nakosa network
![]()
![]()
![]()
Mimi na kaka yangu Mauza uza tulishajikatia tamaa...
Nikamuambia tusife moyo bro,anything can happen.
Daaaaaamn at least tumelala na furaha kidogo kuliko tungefungwa.