Fergie time zimeokoa khekheeeeeRefa aliwazawadia goli la tatu kwa sababu Belerin alisukumwa ...... . hata hivyo si haba naona Mashabiki wa Manure wamekimbia aibu! Final score 3 - 3
Mbona husemi goli lao la tatu ..... . tumepata point 1 na 3 goals si haba.Bounimouth wameniangusha sana, japo na refa nae kachangia, ile haikua red card kabisa
Na ile pia haikuwa push kabisaBounimouth wameniangusha sana, japo na refa nae kachangia, ile haikua red card kabisa
Inartia moyo lakini man U mtausogelea utop 4Bounimouth wameniangusha sana, japo na refa nae kachangia, ile haikua red card kabisa
Dawa ya moto ni moto. Unapaswa kuhesabu ni timu ngapi ziko kwenye hiyo nafasi ya point man U inazozitafutaEndeleeni na dhihaka zenu, "man nafasi yake ya 6" soon mutapata majibu, kutoka difference point 10 hadi 2, tutaheshimiana soon
Uliyaona ya Gunners khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeKhe khe jhe jheeeeeeeeee...pamoja na internet kukatakata bado nimeshuhudia magoli mawili ndani ya dakika 20. Khe khe khe kheeee
Sisi tunaamini katika ubingwa hatuwafukuzi arsenal wala liver, hawa tunajua ni wasindikizaji tu, sisi tunamfocus alie kileleniKwa mwendo wenu na liver kuna mmoja atamwachia man u nafasi