Goal!! Ryan Fraser Washinde njaa labdaYaah mnaweza kushinda ila game imewakalia vibaya jamaa nguvukazi kweli na wakitoka vyumbani watakuwa na nguvu mpya so inabidi mpambane kweli .
Leo Bellerin kawa uchochoro.. goli zote 3 zimepitia kwake... hata ile penalty mpaka inapatikana yeye ndio alikuwa na jukumu la kukaba kabla ya GX57min 3 up Bournemouth ...... Bellerin kasukumwa lakini walipewa penalty ndio hivyo tena ... .
Hahaha mi mwenyewe siamini kama ndio arsenal hawa au naotaKuna namna nadhani nimegeuza tv yangu. Ngoja nikaangalizie kwa jirani mh.
Bournemouth wanatufundisha jinsi ya kucheza mpira leo simlpy we're outclassed.
Bellerin ndio kachemsha leo.Prof anaweka karata za mwisho hapa Lucas for Iwobi and Gabriel for Koscienly ...