Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwan bdo lile jinamis linalotuandama kila December haljaisha jmn
 
HT
2-0
Tunaenda mapumziko tukiwa tumeelemewa bado ingawa tunajaribu kufika kwenye final 3rd yao kitu pekee kinachobakiza matumaini kwa leo.
 
Yaah mnaweza kushinda ila game imewakalia vibaya jamaa nguvukazi kweli na wakitoka vyumbani watakuwa na nguvu mpya so inabidi mpambane kweli .
 
kuna ugonjwa unaowapa arsenal, dec. fever! bado wana homa kali, huwa wanatamani kupakatwapakatwa
 
Mambo yakiendelea hivi nahamia kwenye VPL for gud no more EPL
 
Acha tuendelee kusindikiza May ifike ila kichwa kinauma mechi za Away Spurs Liverpool Chelsea kwa mtindo huu huu mwaka tutamaliza ligi vibaya sana
 
Ngoja tuone kipindi hiki cha pili vijana watakuja vipi?
 
994682346becc6e6ad7e8b91146e11f9.jpg
 
  • Thanks
Reactions: udu
Back
Top Bottom