Ozil kama kafungwa mawe miguuni sio Yule wa Misimu 2,3 nyuma (poor performance).....
Sanchez ajaribu kuibeba Arsenal mabegani kuivusha upande wa pili je, ataweza ngoja tuone........
Majeruhi ya Mustafi yameondoka na ushindi wa Arsenal wamepoteza mechi 3 katka ligi,,,2 mfulululizo bila uwepo wake....
Now nafasi ya 4 gap la point 9 na kinala wa ligi.....tofauti ya point 1 tuu na Mtu wa 5...