Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwahio Sane yuko mbele ya huo mstari?!
 
Ozil kama kafungwa mawe miguuni sio Yule wa Misimu 2,3 nyuma (poor performance).....
Sanchez ajaribu kuibeba Arsenal mabegani kuivusha upande wa pili je, ataweza ngoja tuone........
Majeruhi ya Mustafi yameondoka na ushindi wa Arsenal wamepoteza mechi 3 katka ligi,,,2 mfulululizo bila uwepo wake....
Now nafasi ya 4 gap la point 9 na kinala wa ligi.....tofauti ya point 1 tuu na Mtu wa 5...
 


mmejitahid sana hongereni.........
Ozil angecheza leo msingepga shot moja on target.

[HASHTAG]#FreeMaxcenceMello[/HASHTAG]
 
Lakini BAK, wiki iliopita wakati mnaongoza ligi hamkuwa na mawazo ya kumtoa Wenger. Ila baada ya kurudi nafasi yenu ya 4 ndo hayo mawazo yameanza kuja. Kwanini?
 
Arsenal naona wanaiga chelsea . Wanafunga goli moja then wanaanza kulinda wakati hawana uwezo huo wa kulinda. Sasa ivi wanampango wa kumng'oa wenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…