Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunaweza kushangazwa na Chelsea, Liverpool, Man city na Spurs lakini sio MANURE!! sio kwa kocha yule!!
kushangazwa ni hali ya mtu ambae haujamtegemea akafanya jambo la kishujaa...............hao wengine una mategemeo nao so hawatakushangaza.
 


Vijana wametimka leo mchana kwenda kucheza CL .. ..... .. Ding ... Dong


Granit atakwaana na mdogo wake .... .... .






Super Alexis Sanchez .... .... ..



Arsenal full-back Hector Bellerin trained alone
at London Colney on Monday morning



The three-time Spain international right back
is currently sidelined by an ankle injury



The 21-year-old is sure to be back soon as he was ruled
out for four weeks early last month



Bellerin - who has been in sensational form this season
- was not missed at the weekend



The Gunners have seen Gabriel Paulista (right)
deputise at right back in Bellerin's absence
 
Habari zilizozagaa kwenye magazeti leo Alexis Sanchez na Ozil wanataka kulipwa £290,000.00 kwa wiki kabla hawajaweka sahihi kwenye new contracts ..... ....... .. Habari za ndani kabisa Le prof kawaambia wachukue EPL na CL watalipwa huo mpunga ... .... ... Ding ... Dong.
 
FA cup draw tutacheza na Preston (the Lilywhites) away game kati ya tarehe 6-9 Jan 2017.
 

Attachments

  • upload_2016-12-5_22-32-49.png
    52.8 KB · Views: 31
Hiyo inaitwa tough negotiations
 
Pia nimeona kua guardiola anamuwinda Sanchez AF wht worsening the situation ni je mzee ataachia mzigo kwa vijana
 
rubaman
BAK
Wacha1
Hata nyie mnajua mmetushikia nafasi yetu
Kabla Dec hii haijaisha mtaanza kusema Wenger afukuzwe sababu MAJOGOO yana kuja toka behind kuchukua nafasi yao!Nani sasa hayaogopi MAJOGOO?
 
Haya jipe moyo Mkuu, BPL ya 2016/2017 hali bado ni tete usishangae ukazidi kushuka zaidi na hata Chelsea pale kileleni hayuko salama.

rubaman
BAK
Wacha1
Hata nyie mnajua mmetushikia nafasi yetu
Kabla Dec hii haijaisha mtaanza kusema Wenger afukuzwe sababu MAJOGOO yana kuja toka behind kuchukua nafasi yao!Nani sasa hayaogopi MAJOGOO?
 
Naona umerudi baada ya November kuisha
Belo Bana naona umejaa leo kama pishi la udaga hata kabla kitale hakijaanza. Usiwe na shaka tukimaliza leo ndio tunakomalia EPL hadi February 2017, titaona chacha hizo mbio za wasiyoiona hata Ali Hamisi. BTW Wazee wa Ali Hamisi mnacheza na nani? Khe khe khe khe khekhekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Wenger hatimaye abeba kikombe msimu huu

......
 



 

Attachments

  • upload_2016-12-6_19-3-3.png
    84.8 KB · Views: 26






Nachikia wazee wa Ali Hamisi wanachungulia tu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee na wale wengine hata Ali Hamisi hawaifahamu khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…