Mchezaji wa kiungo mahiri wa West Ham United Dimitri Payet alie katikati.
Huku Santi Cazorla akitazamiwa kukaa bench kwa miezi mitatu kutokana na majeraha ya goti, Arsene Wenger anapanga kuwajaribu West Ham kwa kumsajili Dimitri Payet mwezi ujao dirisha la usajili litakapofunguliwa.
Santi Cazorla amekosekana sana pale katikati kwa pasi zake na vyumba na hilo tatizo linaonekana hata sasa wanapocheza na West ham na Arsenal wanashindwa kuongeza magoli licha ya kutawala mchezo huu.