Kwa line up ambayo AW ameipanga dhidi ya Timu ambayo kwenye EP Arsenal waliifunga kwa kupewa penalty dakika ya mwisho, kuna mtu alitegemea Arsenal ingaliweza kuifunga Southampton leo ?
AW is not serious, at all! Mou alimtania na kumwambia nini vile? .....failure, something.
Mou atapata at least kikombe cha mbuzi cha kumlindia kibarua OT.
Mou mechi kama hizi hatumi mtoto.
Wenger in or out?