Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Cavani ni mmoja ya washambulaji wabovu sana,game ya kule Ufaransa alikosa magoli karibia manne ya wazi kabisa,leo sishangai

Man Utd na Chelsea wanaweza kumwaga pesa kumkopesha msimu ujao kama walivyofanya kwa Falcao.
CC Mentor
 
Sasa naamini November ni msimu nuksi kwetu. PSG wanaongoza group. Magoli 2 ya ugenini yanawapa nguvu. Hii system haipo sawa. Arsenal wana good Goal difference lakini wapo 2nd.
 
Jamaa yupo yupo kiaina... Yale magoli 6 tuliyomgonga Ludogorets yanaweza kusaidia kumaliza on top endapo hatutafungwa dakika za mwisho leo.


Kweli kahongwa..alivyoteleza pale mwishoni duh!
 
Sasa naamini November ni msimu nuksi kwetu. PSG wanaongoza group. Magoli 2 ya ugenini yanawapa nguvu. Hii system haipo sawa. Arsenal wana good Goal difference lakini wapo 2nd.
Ni utaratibu mpya ?
Nafikiri ni bora kushika nafasi ya pili then muombee msipangwe na Barcelona,kuliko kuongoza kundi then ukutane na Bayern,Real Madrid
 
Atletico Madrid wamewin group lao, Bayern Munich wapo second. Hakuna chance ya Arsenal kukutana na Bayern kwa sasa. Anyway, bado tunaweza kukutana na Spanish teams( Real, Barca or Atletico Madrid) au kurudiana na Monaco
 
Ni utaratibu mpya ?
Nafikiri ni bora kushika nafasi ya pili then muombee msipangwe na Barcelona,kuliko kuongoza kundi then ukutane na Bayern,Real Madrid

Utaratibu hovyo kiaina. Katika group stage wangetumia league rules/standard... Anyway, tutaona itakavyokuwa Dec 6 & 7. Timu yoyote tutakayokutana nayo inaweza kutuondoa. Msimu uliopita tuliondolewa na fishi&**ng Monaco. Huwa tuna underestimate teams zenye majina madogo.
 
Kesho (Turkey Day) tuwaangalie magozigozi Manchester United. Msipolibeba kombe la Europa itabidi muisahau Champions league kwa mara nyingine.
Belo
 
Bora kuchukua FA Cup kuliko Uropa Cup

Hahahaha nyie mna rationale za ajabu. Kesho utasema bora kubeba EFL kuliko FA Cup. Naona Mourinho anataka kumpa Zlatan mkataba mwingine next season. Dalili za hard times ahead kwenu.
 
Hahahaha nyie mna rationale za ajabu. Kesho utasema bora kubeba EFL kuliko FA Cup. Naona Mourinho anataka kumpa Zlatan mkataba mwingine next season. Dalili za hard times ahead kwenu.
Huo ni mtazamo wangu FA,EPL na Champions League ndio makombe ya maana
 
At least he was daring, for the sake of the title. What can you show for your ubahili!??

Finishing 2nd, participating in this year UCL something Mourinho failed to achieve either last season koho koho koho koho koho
 
Huo ni mtazamo wangu FA,EPL na Champions League ndio makombe ya maana

Winning Europa gives you an automatic spot for the next season UCL.... I guess you don't know that or you just pretending not to know that.
 
Back
Top Bottom