Kwa kiwango kikubwa sana Ramsey na Elney ndio wanao waangusha. Kunahitajika mabadiliko hapaMkuu Gunners hawapo kwenye kiwango chao kabisa too slow, lakini kipindi cha pili AW atafanya changes kidogo tutaoana kama Manure wataweza kuishi na kasi yetu .... ..... .... . Ding ... Dong.
Good game so far,naona kuna muhimu wa Ramsey kupumzishwa kwa jinsi alivyocheza 1st half labda abadilike.
Kwa mnaouangalia mpira vipi parfomanc ya Arsenal ikoje...???
Kaka nawe badala tungetafutana tuende sehemu classic kucheki game...Nipo kibanda umiza hapa, kelele mtindo mmoja watu wa Manure wanataka penalt Yao, hata Sol Campbell simskii anasema nini!
Mpira haunogi sehemu classic niffah,,sehem hata refa akifanya uhuni unaona aibu kutukana.....raha ya soka banda umiza....Kaka nawe badala tungetafutana tuende sehemu classic kucheki game...
Aaarrrrggghhh
Piga hao mashetani wekundu 2-0 wakaendeleze udhetani wao.
Hunizidi mimi mkuu,dah!Hii gemu inaniletea stress i see!!!