Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa mnaouangalia mpira vipi parfomanc ya Arsenal ikoje...???
 
upload_2016-11-19_13-20-38.png


upload_2016-11-19_13-21-13.png


8034f3b6-f5e8-4e71-8e92-b1acec4843df.jpg


Pen shout Moureen ... ..
 
Nipo kibanda umiza hapa, kelele mtindo mmoja watu wa Manure wanataka penalt Yao, hata Sol Campbell simskii anasema nini!
 
Kwa mnaouangalia mpira vipi parfomanc ya Arsenal ikoje...???

Mkuu Gunners hawapo kwenye kiwango chao kabisa too slow, lakini kipindi cha pili AW atafanya changes kidogo tutaoana kama Manure wataweza kuishi na kasi yetu .... ..... .... . Ding ... Dong.
 
1479560423452_lc_galleryImage_MANCHESTER_ENGLAND_NOVEMB.JPG

Half time.
Kazi ya ukocha ni moja kati ya kazi ngumu Duniani.
Nakumbuka Mourinho aliwahi kusema "Kazi ya ukocha inaweza kukufanya chizi.
Timu ikishinda ni furaha,lakini mkifungwa hata kama makosa ni ya wachezaji lawama zote atapewa kocha"
Kila wakati huwa naitafakari hii kauli ni kweli kabisa.

Ndio maana huwa napenda Arsenal ishinde wakati wote,furaha yangu kuu ni kumuona Wenger akifurahi.
Huwa namuonea huruma sana Mzee,tukifungwa naumia kwa ajili yake!
 
I totally agree, very stressful but on the other hand the rewards are huge when you're winning. On cloud nine hata moyo na akili vinatabasamu.

Kazi ya ukocha ni moja kati ya kazi ngumu Duniani.
Nakumbuka Mourinho aliwahi kusema "Kazi ya ukocha inaweza kukufanya chizi.
Timu ikishinda ni furaha,lakini mkifungwa hata kama makosa ni ya wachezaji lawama zote atapewa kocha"
Kila wakati huwa naitafakari hii kauli ni kweli kabisa.

Ndio maana huwa napenda Arsenal ishinde wakati wote,furaha yangu kuu ni kumuona Wenger akifurahi.
Huwa namuonea huruma sana Mzee,tukifungwa naumia kwa ajili yake!
 
Kazi ya ukocha ni moja kati ya kazi ngumu Duniani.
Nakumbuka Mourinho aliwahi kusema "Kazi ya ukocha inaweza kukufanya chizi.
Timu ikishinda ni furaha,lakini mkifungwa hata kama makosa ni ya wachezaji lawama zote atapewa kocha"
Kila wakati huwa naitafakari hii kauli ni kweli kabisa.

Ndio maana huwa napenda Arsenal ishinde wakati wote,furaha yangu kuu ni kumuona Wenger akifurahi.
Huwa namuonea huruma sana Mzee,tukifungwa naumia kwa ajili yake!
Nifah baada ya gemu nikuone pale man u thread
 
Back
Top Bottom