Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Aiseee!!!! Nimefurahi sana kukuona usipotee hivyo tena bana!!......

Wacha 1 siku ingine usikimbie namna hiyo mkuu.

Mkuu Everlink alikuwa kakosa raha kabisa lakini nikawaahidi kukutafuta.

😀😀😀
 
Team news

Arsenal
CvoZYTSWgAA6Dpf.jpg



Reading FC:

Al-Habsi (c), Watson, Obita, L.Moore, Blackett, Kelly, Van den Berg, Evans, McCleary, Harriott, na Samuel.

Wachezji wa akiba: S.Moore, Swift, Wieser, Kermorgant, Meite, Quinn, na Gravenberch.
 
Wakuu game limekuwa kama la Middlesbrough na Arsenal wananyiwa nafasi ya kucheza.

MBINU
170af336-3c25-47fb-9df0-9997b9cce292_s.png


Reading wanacheza mtindo wa 3-4-3 na wanacheza mtindo wa kujihami.

Dakika inakwenda ya 12

Magoli 0-0
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wakuu game limekuwa kama la Middlesbrough na Arsenal wananyiwa nafasi ya kucheza.

Reading wanacheza mtindo wa 3-4-3 na wanacheza mtindo wa kujihami.

Dakika inakwenda ya 12

Magoli 0-0

Tv yako ipo nyuma.. Arsenal 1-0 Reading
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ila wanajitahidi.

Kuna mechi zingine Arsenal inawapasa kuzimaliza kabla ya mapumziko.


18c989eb-2431-409e-9a24-5d9f66319db8.jpg

OX akifunga goli la kwanza akiangaliwa na beki wa Reading Tyler Blackett.
 
Back
Top Bottom