everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Aiseee!!!! Nimefurahi sana kukuona usipotee hivyo tena bana!!......Hujambo ....... .. ..... nilikuwepo ... Ding ... Dong!
Aiseee!!!! Nimefurahi sana kukuona usipotee hivyo tena bana!!......Hujambo ....... .. ..... nilikuwepo ... Ding ... Dong!
Na nyie mtapigwa ngapi?Arsenali leo mnapigwa na reading 5 bila
Aiseee!!!! Nimefurahi sana kukuona usipotee hivyo tena bana!!......
Wakuu game limekuwa kama la Middlesbrough na Arsenal wananyiwa nafasi ya kucheza.
Reading wanacheza mtindo wa 3-4-3 na wanacheza mtindo wa kujihami.
Dakika inakwenda ya 12
Magoli 0-0
Tv yako ipo nyuma.. Arsenal 1-0 Reading
Bora ushindi huko kucheza vizuri njoo siku nyingine mkuuArsenal japokuwa inaongoza, ila haichezi vizuri.
Bora ushindi huko kucheza vizuri njoo siku nyingine mkuu
Mpira magoli sio vyengaIla usipocheza vizuri unawapa matumaini ya kupata goli wapinzani kama leo.
Mpira magoli sio vyenga