Wapigwe tu kelele week hii hazitakuwepo ja jumatano wanakutana na man city aguero atajipigia tu hapo ndo watagundua morinyo ni garasa tu ameshajichokea
Wapigwe tu kelele week hii hazitakuwepo ja jumatano wanakutana na man city aguero atajipigia tu hapo ndo watagundua morinyo ni garasa tu ameshajichokea
Wakuu wa Gunners na wote kwa ujumla, 2016 ndio hiyo inayoyoma all the best, tinachubiri HRC achukue madaraka kule USA. Wapeni pole Manure ooops khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hahaha nafichwa, yaani kama Wewe ulivyofichwa msimu uliopita nilikumiss mbaya
....... jamani Wacha1 yupo hai ?au ana ID nyingine? ......nimemmiss sanaaaaaa!!! Vicheko hakuna, BAK mwenyewe anacheka haweki wino mwekundu kama Wacha 1
Wakuu wa Gunners na wote kwa ujumla, 2016 ndio hiyo inayoyoma all the best, tinachubiri HRC achukue madaraka kule USA. Wapeni pole Manure ooops khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee