Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pamoja na kuwa Arsenal wanaongoza 2-0 lakini sipendi hii slow movement style wanayocheza. Wangekuwa wanacheza high pressing quick passes tungewafunga nyingi. Hii style huwezi kucheza na timu kama Manchester City, Man Utd. Liverpool walitupatia 4-3 kwa style hii hii, hawakutupa nafasi ya kupumua.
 

Tunashindwa kabisa kutumia advantage ya Hull City kua pungufu tuko slow mpaka inakera.
 
Yani inaboa sana kama wameridhika
 
Ni vigumu kumaliza hii game without conceding a goal. Hii pace inaudhi sana, utadhani tunaangalia golf tournament.
 
Good tumeshinda. Nimekosa kuona magoli mawili ya mwisho, nilikuwa out. Arsenal wanatakiwa kujifunza ku-keep a Clean sheet. Tumerudi nafasi ya 2 for the moment being. Hatutaweza kuwa a championship caliber team bila ya ku cut out defensive errors.
 
Nasubiri nione Everton, Spurs na Man Utd kama wataturudisha chini. Kila mmoja wao ana nafasi ya kuwa nafasi ya 2 endapo watashinda mechi zao leo na kesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…