Pamoja na kuwa Arsenal wanaongoza 2-0 lakini sipendi hii slow movement style wanayocheza. Wangekuwa wanacheza high pressing quick passes tungewafunga nyingi. Hii style huwezi kucheza na timu kama Manchester City, Man Utd. Liverpool walitupatia 4-3 kwa style hii hii, hawakutupa nafasi ya kupumua.