UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Uwa anasubir dakika za mwishoLacazette ni mmaliziaji mzuri tu lakini Mahrez nae ni mtafutaji na pia mfungaji magoli yaani attacking midfielder.
Lyon huku wakifahamu desperation ya Arsene Wenger, hatari yake ni kwamba wanaweza kupandisha dau kwa kuona jinsi Napoli walivyozuia Euro 73 kwa Higuain.
Tatizo la Wenger siku zote ni kukaa na kusubiri, sifahamu huwa anasubiri nini.