Familia ya mashabiki wa soka duniani inapenda kuwatangazia kwamba baada ya binti yao mpendwa ArsayNO kufanyiwa sendoff pale Emirates ...Leo ndo anaolewa jumla na kijana Bakalona ,harusi itafanyika kuanzia SAA 4;45 ukumbi wa Camp Nou na kurushwa LIVE ktk TV za bar,vibanda umiza na majumbani
Karibu sana