Gosling anamkwatua Mathieu Flamini na Flamini hajapenda namna kiatu kilivyopigwa na analalamika kwa mwamuzi. Mwamuzi Kevin anapeta na anamwonya Gosling kwa kuzungumza nae.
So far na Bournemouth, Arsenal not convincing at all, as if we are not fighting for anything. Very dissappointed so far.
The Ramsey-Flamino midfield combo never works!