tamadunmusic
Member
- Oct 16, 2015
- 66
- 23
Tunaingia saa ngap leo dimban
Saa 12:00
Tunaingia saa ngap leo dimban
Point 3 hazipatikan kizembe mjue.
Hapo ni sare hadi mwisho au mfungwe
Na leo tena!! Babu itabidi atoe maelezo ya kina.Kwa nini anahisi anafaa kuendelea kuifundisha club ya Arsenal??
Mnataka kumsack nini?? Ha ha haaa mwacheni mzee awatoe nnje ya top 4
Siku huyu Babu akiondoka mimi nitakuwa ktk tatu bora za waliofurahi,,maana ninaishabikia timu kwa kuvumilia tu.Ila muda utawafungua viongozi wa Arsenal macho.
Arsenal atashinda 3
Arsenal atashinda 3
kwanini unaumia moyo mkuu, ni ruksa kabisa kuhama
Point 3 hazipatikan kizembe mjue.
Hapo ni sare hadi mwisho au mfungwe