Mkuu
Sizinga vip kitambo saana.
ni kweli tuna majeruhi mkuu lakini naamin Wenger anaenda Munchen kwa lengo la kupata matokeo mazuri na sio kufungwa ili akomae na ligi na kama imetokea Gunners tumefungwa sidhani kwamba hiyo ndio itakuwa sababu ya kuitoa.
#COYG.