NGUZO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 257
- 46
8-3=5
5kavuuu
Ile ilikuwa 8 kwa 2, hence 2+3=5
8-3=5
5kavuuu
Labda mujaribu next season maana kwa magarasa yale mtampa lawama JK bure,pale lazima lipite fagio la chuma na mkifanya mchezo kuna mshenga ataleta barua kwa fundi wenu Coutinho veri suuuuni.
Mnataka kumpa lawama tu JK wenu, itamchukua muda kurekebisha timu na wachezaji.Kaikuta ligi mbichi na anayeongoza kazidi single digit tu!JK anatupa ubingwa
Kaikuta ligi mbichi na anayeongoza kazidi single digit tu!JK anatupa ubingwa
![]()
Alexis hakucheza mechi na Brazil ambao walipigwa 2 kwa nunge .... ..
We jamaa kwani goli la pili la Chile ni nani alifunga?
8-3=5
5kavuuu
Ndg ilikuwa 8-2=6-3=3