siku hizi unatokea mkishinda au tukipigwa ubaya. Mama mdogo anakuweka busy Brussels. Kwa mwendo huu nakubai jumapili tunakuja kupigwa tena. Defending ilikuwa mbaya sana...
Timu yetu ukitoa Sanchez, kwa viwanngo vya ulaya tukubali tu ni ya kawaida kama Celtic tu na kwa England tuseme sisi ni timu ya TOP FOUR.
Sina mengi, usiku mwema.
siku hizi unatokea mkishinda au tukipigwa ubaya. Mama mdogo anakuweka busy Brussels. Kwa mwendo huu nakubai jumapili tunakuja kupigwa tena. Defending ilikuwa mbaya sana...
Timu yetu ukitoa Sanchez, kwa viwanngo vya ulaya tukubali tu ni ya kawaida kama Celtic tu na kwa England tuseme sisi ni timu ya TOP FOUR.
Sina mengi, usiku mwema.