Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hakuna mahali refa alishauriana na linesman. Sikuona popote wakishauriana...

Mkuu angalia marudio utaona Refa akishauriana na linesman kwa kifaa chao cha mawasiliano kilichopo masikioni na alipopata confirmation ndio akatoa kadi.
 
Khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe...eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Marefa na malinesmen wanavaa wireless microphones zinazowaruhusu kuwasiliana

Labda mawasiliano ya mtindo huu ndo yalitokea, ila muda ambao refa alitoa kadi baada ya tukio ulikuwa ni mchache sana na hakuonesha ile body language kuwa yupo kwenye mawasiliano kupitia wireless phones.
Pia ndugu Ngarna anasema aliwaona wakiwasiliana ktk 'replay' yaani marudio nafikiri.
Anyway, hii sio topic, topic ni sisi arsenal tumefungwa leo.
 
Last edited by a moderator:
@ngarma Tv yake ilimuonesha kuwa kuna mahali refaree alishauriana na assistant wake!

Tabu ya kuangalia mpira kwenye vibanda umiza. Marefa na ma
linesmen wana wireless microphones zinazowafanya wawasiliane bila Refa kumfuata linesman kama mlivyotaka nyie.
 
Naona una hasira za kubamizwa.Baada ya Costa kulalamika ndio Refa Dean kwa kutumia chombo alichonacho sikioni na ndio njia yao ya mawasiliano akatoa red card.Kwenye interview Wenger amezungumzia kwamba Rafael was wrong to reteliate. Wewe mshabiki maandazi unabisha.Kuhusu Carzola alikuwa na yellow kuji commit kwenye tackle ambayo ni fifty fifty ni upumbavu.Na ndio maana akapewa yellow ya pili. Farbegas alijifanya ameumia baada ya tackle ili kum influence Refa na ndio ujanja wa kimchezo. Game imekwisha move on wacheni kulalama. Ila ni kweli Costa alistahili red lakini wachezaji wa Arsenal ni very naive katika kulalamikia maamuzi ya Refa na marefa wengi wana wa take for granted kwamba hawalalamiki hivyo hakuna pressure ya kuwapa advantage kwenye maamuzi ambayo ni magumu kutolewa na Refa.Mfano ni mechi na Liverpool goli la Ramsey lilikuwa goli halali. Refa kakataa.Wachezaji wa Arsenal wakaendelea as if ni kawaida tu.Ingekuwa timu lalamishi pangechimbika. Football ni mbinu na mara nyingine ustaarabu haukupi advantage.

..olryt; kumbe kinachowasaidia siku hizi ni kule kujiangusha angusha na kumlilia refa, mbinu chafu za kimchezo ila ndizo mnafundishwa na moureen,that'z fyn, though too low.!
may be mtaendelea kulia lia mpk muwe mabingwa msimu huu..
 
Tabu ya kuangalia mpira kwenye vibanda umiza. Marefa na ma
linesmen wana wireless microphones zinazowafanya wawasiliane bila Refa kumfuata linesman kama mlivyotaka nyie.

Sawa umeshinda mkuu, ila mimi nikiangalia mechi kibanda umiza na wewe ukiangalia nyumbani huku kibanda umiza hawaonyeshi replays au?? Point yako ni nini hapo.
 
..olryt; kumbe kinachowasaidia siku hizi ni kule kujiangusha angusha na kumlilia refa, mbinu chafu za kimchezo ila ndizo mnafundishwa na moureen,that'z fyn, though too low.!
may be mtaendelea kulia lia mpk muwe mabingwa msimu huu..

Mkuu mimi sio Chelsea na nawachukia ile mbaya lakini nawaheshimu kwa mbinu za kutafuta ushindi. The end result justifies the means. Usipandwe na HP bure it is just a game. Move on.
 
Sawa umeshinda mkuu, ila mimi nikiangalia mechi kibanda umiza na wewe ukiangalia nyumbani huku kibanda umiza hawaonyeshi replays au?? Point yako ni nini hapo.

Pointi yangu kwenye vibanda umiza na kwenye ma bar watu hawaangalii football bila kupofushwa na ushabiki na utafutaji visingizio. Kushinda, kufungwa na sare ndio matokeo yanayoweza kutokea kwenye mpira. In the end lazima mojawapo litokee. Mkuu kama nime ku offend haikuwa nia yangu. Naomba msamaha.Mimi huwa sipendi timu bila kuwa mkweli hata kama ukweli huo unaathiri ushabiki wa timu ninayoishabikia.
 
Mkuu mimi sio Chelsea na nawachukia ile mbaya lakini nawaheshimu kwa mbinu za kutafuta ushindi. The end result justifies the means. Usipandwe na HP bure it is just a game. Move on.

..baada ya red card ya kwanza nilishajiandaa kwa yote, nikajua nxt 45 minutes zitakua chungu,na ndivyo ilivyokua,no surprise at all.!
 
2C80F30F00000578-3241125-Clearly_irked_Gabriel_flicked_his_boot_at_Costa_in_full_view_of_-m-20_1442669100627.jpg


Makosa ya Gab

2C80F7F800000578-3241125-image-m-7_1442668634862.jpg


Tunaomfahamu M Dean wala hatushituki


2C812EC800000578-3241125-image-a-10_1442668907814.jpg


Ubabe ubabe tu .... ...
 
2C81222700000578-3241084-image-a-66_1442668203638.jpg


The clash between Costa and Gabriel occurred after the striker confronted Koscielny and pushed him to the floor on the stroke of half time



2C80FB3B00000578-3241084-image-a-74_1442668550147.jpg


After watching Costa push his team-mate, Gabriel makes his way towards Costa to confront the striker at Stamford Bridge on Saturday
 
2C815BF800000578-3241084-image-a-86_1442669545558.jpg


Carz baada ya red card ..... ..... ... ni ajabu mchezaji kuonekana hivi ..

Man of the match Mike Dean na Moureen
 
Back
Top Bottom