Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ushindi batili. Hadi hasira

We acha tu madam but yote kwa yote hongera zao kwa kufanikiwa kuwa na mchezaji wa 12 lengo limetimia wamepata point zao tatu za magumash na mwisho wa marathon hii tutaona nani ni nani.
 
Refa kaharibu game mwanzo mwisho
red kadi 2, goli 1, hakuna muda uliopotezwa kiholela hlf anaongeza muda dk 5
 
Acha hizo wewe! kabla hujafika hapo rudi kwa alichofanya costa kwa Laurent, refa ndo kaharibu sio sisi! alafu unaposema aliahauriana na mshika kibendera saa ngapi? mechi tumeona live, hakukuwa na mashauriano yoyote! Alishawishiwa na huyo costa!

Costa alipewa kadi ya njano. Gabriel aliendeleza upumbavu na kukubali kupandishwa hasira. Angalia marudio utaona Dean alishauriana na mshika kibendera. Ushabiki usitufanye tusiseme ukweli. Uongo na kutafuta visingizio havibadili matokeo na ukweli.
 
Mechi imeharibiwa na upumbavu wa wachezaji wa Arsenal Gabriel kakubali kupandishwa hasira na kumpiga teke la nyuma Costa. Refa Dean hakuona lakini alishauriana na mshika kibendera. Kadi ya Carzola ipo wazi hakuna cha kulalamika. Alikuwa na kadi ya njano. Aka tackle late akapewa kadi nyingine njano which equals red.Kuwa naive ndio kumei cost Arsenal leo. Mpira ni mchezo wa mbinu ukiingia kichwa kichwa unaumia.

..unaijua maana ya tackle late?! cazorla ndie alianza kuugusa mpira thn akiwa kwenye motion ndio akaenda kumgusa fabregas,thn unasema refa alishauriana na mwamuzi kbl yakutoa red.!! itakua unatumia tv ya mbao...
 
Manina wallah nimeona clips za faulo za Costa nashindwa kuelewa kwa nini hakupewa REDS
 
Poleni wakuu maombi kwenu yanahitajika
 

Attachments

  • 1442675759607.jpg
    1442675759607.jpg
    30.6 KB · Views: 165
Costa alipewa kadi ya njano. Gabriel aliendeleza upumbavu na kukubali kupandishwa hasira. Angalia marudio utaona Dean alishauriana na mshika kibendera. Ushabiki usitufanye tusiseme ukweli. Uongo na kutafuta visingizio havibadili matokeo na ukweli.

..hivi ww unatumia tv ya aina gani? costa alipewa yellow kwa kosa alilofanya kwa gabriel, but yale makofi aliyompiga koscielny hakupewa punishment yoyote.! thn unasema tuache ushabiki km sio ww unaeleta ushabiki hapa ni nani? na wale wawili walikua wote wanabishana km uliona kwa tv yako ya mbao,costa ndie alimwambia refa kafanyiwa foul thn refa akatoa kadi..huyo refa alishauriana na kibendera wapi wkt muda wote alikua amezungukwa na wachezaji wa chelshit kbl hajatoa kadi?!
 
Costa alipewa kadi ya njano. Gabriel aliendeleza upumbavu na kukubali kupandishwa hasira. Angalia marudio utaona Dean alishauriana na mshika kibendera. Ushabiki usitufanye tusiseme ukweli. Uongo na kutafuta visingizio havibadili matokeo na ukweli.

Okei, basi tumeangalia mechi tofauti. Niliyoona mimi refa hajashauriana na mshika kibendera, ni alishawishiwa na reaction ya costa, na pia kuhusu gabriel kupandishwa hasira, baada ya wao wawili (costa na gabriel) kupewa kadi za njano, gabriel alikuwa anaondoka ila costa aliendele kumfuata mpaka hilo tukio ambalo lilikuwa soft kabisa!
Mimi ni Arsenal damu, ila nimeweka ushabiki pembeni, ktk Tv niliyoangalia ndo ilikuwa hivyo! Nawe na Tv yako ilikuwa na version nyingine ya tukio hilo hilo, hivyo POA!
 
Mike Dean's a fool, pathetic official. I can't imagine alimuachaje Diego Costa baada ya kufanya ujinga kwa Kosienly....
 
Okei, basi tumeangalia mechi tofauti. Niliyoona mimi refa hajashauriana na mshika kibendera, ni alishawishiwa na reaction ya costa, na pia kuhusu gabriel kupandishwa hasira, baada ya wao wawili (costa na gabriel) kupewa kadi za njano, gabriel alikuwa anaondoka ila costa aliendele kumfuata mpaka hilo tukio ambalo lilikuwa soft kabisa!
Mimi ni Arsenal damu, ila nimeweka ushabiki pembeni, ktk Tv niliyoangalia ndo ilikuwa hivyo! Nawe na Tv yako ilikuwa na version nyingine ya tukio hilo hilo, hivyo POA!

Hakuna mahali refa alishauriana na linesman. Sikuona popote wakishauriana...
 
..hivi ww unatumia tv ya aina gani? costa alipewa yellow kwa kosa alilofanya kwa gabriel, but yale makofi aliyompiga koscielny hakupewa punishment yoyote.! thn unasema tuache ushabiki km sio ww unaeleta ushabiki hapa ni nani? na wale wawili walikua wote wanabishana km uliona kwa tv yako ya mbao,costa ndie alimwambia refa kafanyiwa foul thn refa akatoa kadi..huyo refa alishauriana na kibendera wapi wkt muda wote alikua amezungukwa na wachezaji wa chelshit kbl hajatoa kadi?!

Naona una hasira za kubamizwa.Baada ya Costa kulalamika ndio Refa Dean kwa kutumia chombo alichonacho sikioni na ndio njia yao ya mawasiliano akatoa red card.Kwenye interview Wenger amezungumzia kwamba Rafael was wrong to reteliate. Wewe mshabiki maandazi unabisha.Kuhusu Carzola alikuwa na yellow kuji commit kwenye tackle ambayo ni fifty fifty ni upumbavu.Na ndio maana akapewa yellow ya pili. Farbegas alijifanya ameumia baada ya tackle ili kum influence Refa na ndio ujanja wa kimchezo. Game imekwisha move on wacheni kulalama. Ila ni kweli Costa alistahili red lakini wachezaji wa Arsenal ni very naive katika kulalamikia maamuzi ya Refa na marefa wengi wana wa take for granted kwamba hawalalamiki hivyo hakuna pressure ya kuwapa advantage kwenye maamuzi ambayo ni magumu kutolewa na Refa.Mfano ni mechi na Liverpool goli la Ramsey lilikuwa goli halali. Refa kakataa.Wachezaji wa Arsenal wakaendelea as if ni kawaida tu.Ingekuwa timu lalamishi pangechimbika. Football ni mbinu na mara nyingine ustaarabu haukupi advantage.
 
Mike Dean's a fool, pathetic official. I can't imagine alimuachaje Diego Costa baada ya kufanya ujinga kwa Kosienly....

Kibaya zaidi ambaye hakustahili kupewa kadi ndoakapewa, na nimempenda sana Gabriel, ni bully haswa! Alipoona Costa kampiga 'kichwa' kolsieny nusu amkwide costa shingo, kanikumbusha Martin Keown, no bullshit defender, Hazard nafikiri alifurahi sana baada ya hili dume kutolewa, Angelala na viatu hazard kama Gabriel angebaki. Jamaa yuko physical alafu super quick!
 
Back
Top Bottom