Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

2 down .. ... against 9 players ...... ..... .... Mike Dean has done his job under an influence of brown envelopes.
 
Calum Chambera mpira unamgusa na Chelsea wanapata goli la pili baada ya kupigwa na Eden Hazard

Chelsea 2 Arsenal 0

Dakika zimebaki 3 za nyongeza.
 
Sio mbaya isingekuwa fair Chelsea kubakia mkiani wakiwa 9 points nyuma yetu ilhali ni mabingwa watetezi.
 
Lini Arsenal tutakuwa na marefa wetu kama Chelsea and Manchester United ?
 
Huyu Morinyo vipi sisi tunawafungaga 8 hawa wakiwa wote uwanjani. Yeye hata tano anashindwa wakiwa 9?
 
Mechi refa katuua, na CHELSEA ya mwaka huu ni mbovu! Haiingii top 4.
Arsenal for life.
 
Mechi imeharibiwa na upumbavu wa wachezaji wa Arsenal Gabriel kakubali kupandishwa hasira na kumpiga teke la nyuma Costa. Refa Dean hakuona lakini alishauriana na mshika kibendera. Kadi ya Carzola ipo wazi hakuna cha kulalamika. Alikuwa na kadi ya njano. Aka tackle late akapewa kadi nyingine njano which equals red.Kuwa naive ndio kumei cost Arsenal leo. Mpira ni mchezo wa mbinu ukiingia kichwa kichwa unaumia.
 
Mechi imeharibiwa na upumbavu wa wachezaji wa Arsenal Gabriel kakubali kuwa kupandishwa hasira na kumpiga teke la nyuma Costa. Refa Dean hakuona lakini alishauriana na mshika kibendera. Kadi ya Carzola ipo wazi hakuna cha kulalamika. Alikuwa na kadi ya njano. Aka tackle late akapewa kadi nyingine njano which equals red.Kuwa naive ndio kumei cost Arsenal leo. Mpira ni mchezo wa mbinu ukiingia kichwa kichwa unaumia.
Acha hizo wewe! kabla hujafika hapo rudi kwa alichofanya costa kwa Laurent, refa ndo kaharibu sio sisi! alafu unaposema aliahauriana na mshika kibendera saa ngapi? mechi tumeona live, hakukuwa na mashauriano yoyote! Alishawishiwa na huyo costa!
 
Back
Top Bottom