BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Hongereni Arsena wenzangu,ushindi safi kabisa huu...Pointi tatu saaaaaaaaaafi...Tunakuja kuwashika(Man Utd)
Na hawa wenzetu wana mechi ngumu zaidi kuliko sisi hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kupoteza points nyingi katika ya sasa na May, 2010 ukilinganisha na sisi.