Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Thanks Graham, you've explained it very well....Same old Hypocrite Arsene Whinger lazima alalame ikiwa against kwake lakini anasema hajaona ikiwa imempa favour.
mkuu hii issue ilikuwa ndani ya box ilikuwa swala la common sense kwa refa lakini kama kawaida tunaheshimu matokeo n we r moving on.rematch tutashinda kwa kishindo kikubwa tu wala sina wasi wasi.

wakujilaumu ni sisi wenyewe huyo refa namtakia kila la kheri world cup manake nimeona jina lake kule lol.
 
hivi hapo refa kanyoosha mkono juu kwa ajili ya nini? manake mpira ulikuwa tayari uko kwenye play au aliona goli kabla? mwenye kujua zaidi anaimbie huo mkono wa refa uko juu kwa ajili ya nini hapo? kama foul kupigwa ishapigwa ndio iko kwa mfungaji ,sasa yeye mkono juu wa nini?
Inapokuwa indirect free-kick refa anatakiwa kuweka mkono juu mpaka pale mchezaji wa pili (aliyepasiwa) anapogusa mpira.
 
mkuu hii issue ilikuwa ndani ya box ilikuwa swala la common sense kwa refa lakini kama kawaida tunaheshimu matokeo n we r moving on.rematch tutashinda kwa kishindo kikubwa tu wala sina wasi wasi.

wakujilaumu ni sisi wenyewe huyo refa namtakia kila la kheri world cup manake nimeona jina lake kule lol.
Mko kwenye hali nzuri maana tayri mna goli la ugenini na mazingira ya Emirates yatawabeba.
 
Lol!, are you still discussing about that goal?, poor you. Just be focused on the 2nd Leg at Emirata. Ila based on facts, siwaoni wakiwatoa nyie pale kwenu, Porto walishinda kibahati sana game ya jana.
May be utokea muujiza ( i mean Fbsnk akiendela kukaa golini)Lol!
 
LEO HAWA WATOTO WASIPO LETA POINT 3 KWENYE TABLE TUNAPIGA BAKORA MPAKA BABU YAO AW.wasilete masiala na hisia za mashabiki.
 
Naam tena kichapo cha MANU ni motivation kubwa sana ili kupunguza gap na kubakisha 2 points tu.
 
Teams - Arsenal: Almunia, Eboue, Silvestre, Vermaelen, Clichy, Song, Walcott, Fabregas, Ramsey, Nasri, Bendtner

naona wenger anabahatisha sasa,beki wawili wa miguu kushoto kati noma.
 
hivi tatizo ni nini na wachezaji wetu? tunakosaje nafasi za wazi vile? tutazipata wapi nafasi kama zile february hii.?
 
goooooooooooooaaaal.safiiiiiiiiiiiiiiiii sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa point 3 muhimu hizi.wakuuu njooenii tushangilie tokeni mlipo jificha ha ha ha.
 
Hongereni Arsena wenzangu,ushindi safi kabisa huu...Pointi tatu saaaaaaaaaafi...Tunakuja kuwashika(Man Utd)
 
Back
Top Bottom