orangutan
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 756
- 775
Japo mnazungumzia sana fowadi ila mimi kichwa kinaniuma zaidi kwenye beki amini nawaambia tunatakiwa kununua beki!
upo right mkuu. defence yetu iko shaky vibayA!!
Japo mnazungumzia sana fowadi ila mimi kichwa kinaniuma zaidi kwenye beki amini nawaambia tunatakiwa kununua beki!
Kumbe humu ni kwa washabiki wa Goons tu?!? 😳😂😳😂
Utakuwa mgeni weye!
Nakuunga mkono, "new ronaldo" kwenye EPL hamna kitu, na timu ya pub ya belgium kang"ara balaa, jana ilikuwa kwa yule striker butu!..timu yenu imeonekana kidogo na kaunafuu baada ya kupewa hao wabelgiji,mpk vipofu wamefunga hat trick ngoja mrudi kwa wanao jua.!!
Nakuunga mkono, "new ronaldo" kwenye EPL hamna kitu, na timu ya pub ya belgium kang"ara balaa, jana ilikuwa kwa yule striker butu!
tuna point 7 za kwenye ligi au nayo ligi ni ya ubelgiji?
hao wabelgiji walifika robo fainali ya Europe league, vp livapuli na Everton wanaocheza ligi ngumu walifika wapi?
Point7 magoli2 kati yahayo moja la kujifunga safi sana.
Ya huyu mzee sijui vipi we pesa za usajili unapewa watu wa kusajili wapo mpaka wengine wanachukua lakini ye yupo tu kama anaganzi yani aaargh mzee sajiliii unazingua mpaka inaboa kuzungumzia CL inaonekana wazi kazi tunayo
..kuvuka hilo kundi sio issue tutavuka,last 16 km kawa ndio tutaanza kutafutana au Mungu asaidie tuje pata timu km monaco last season japo nao walitutoa.!!
bayern nimeshawazoea,nawaona km hawapo vizuri sn kwenye champions league kulinganisha na ligi yao ya nyumba.Kushinda emirates is possible and even draw away at allianz arena is possible again,hizo timu nyingine tushindwe wenyewe,inshort last 16 tumeshafika.Issue kuanzia hapo kwenda mbele, Je, Wenga ataongeza striker,holding midfielder..?anyway let's wait and see.
Mteremko, sioni wa kutisha kivile. Fair draw!Haya sasa mtanange ndio umetayarishwa na Arsenal imepangwa kwenye kundi F. Timu zingine kwenye kudi hilo ni pamoja na Olympiakos, Dinamo Zagreb na mahasimu wao Bayern Munich.
Umewazoea vipi timu iliyowapeleka nje 16 bora mara 2 mfululizo.??