Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,895
- 11,288
Kaka wewe mteja wangu huwezi kunirarua tena safari hii zitaongezeka msipokuwa makini September hiyoooooooo!!!!!!
Hauna team dada yangu!Anti football yenu hamna atakaye waachia
Kaka wewe mteja wangu huwezi kunirarua tena safari hii zitaongezeka msipokuwa makini September hiyoooooooo!!!!!!
Wakuu habari za asubuhi hii.
Habari za usajili ni kwamba dael za Benzema na Cavani zimekufa na Arsenal wameangalia kwingine.
Real Madrid na PSG wamegoma kuwaachia Benzema na Cavani kwa madai kwamba muda ni mfupi umebakia kwa kusajili wachezaji wengine kuziba nafasi zao.
Lakini Arsenal watajaribu kwenda tena Real Madrid na kiasi ama cha paundi 49 milioni na hio itakuwa nimara ya nne.
Kuna mshambuliaji mwingine ambae anaitwa ALexander Kokorin ambae ni wa kutoka Russia na anachezea timu ya Dynamo Moscow.
![]()
Kokorin ana miaka 24 na mpaka sasa yupo anahusishwa na timu zingine kama Man Utd, Zenit st Petersbrg na Spurs.
Pia bado Arsenal wanajaribu kumsajili kiungo wa Poland na Sevilla ya Spain Grzegorz Krychowiak.
Kama alivyosema legend Thiery Henry wiki hii ni wiki yenye umuhimu mkubwa kwa Arsenal FC
COYG!!
Wakuu habari za asubuhi hii.
Habari za usajili ni kwamba dael za Benzema na Cavani zimekufa na Arsenal wameangalia kwingine.
Real Madrid na PSG wamegoma kuwaachia Benzema na Cavani kwa madai kwamba muda ni mfupi umebakia kwa kusajili wachezaji wengine kuziba nafasi zao.
Lakini Arsenal watajaribu kwenda tena Real Madrid na kiasi ama cha paundi 49 milioni na hio itakuwa nimara ya nne.
Kuna mshambuliaji mwingine ambae anaitwa ALexander Kokorin ambae ni wa kutoka Russia na anachezea timu ya Dynamo Moscow.
![]()
Kokorin ana miaka 24 na mpaka sasa yupo anahusishwa na timu zingine kama Man Utd, Zenit st Petersbrg na Spurs.
Pia bado Arsenal wanajaribu kumsajili kiungo wa Poland na Sevilla ya Spain Grzegorz Krychowiak.
Kama alivyosema legend Thiery Henry wiki hii ni wiki yenye umuhimu mkubwa kwa Arsenal FC
COYG!!
Mkuu uko america nn? habari za asubuhi wenzio huku saa 8 mchana dsm jua kaliii..!
Tukirudi kwa asenali na wenga wetu kiukweli mi nishamchoka huyo mzee.Kwann anasubiri mpk dkk mbaya kama hizi ndio aanze kuleta habari za kumsajili mshambuliaji na kiungo mkabaji.?toka msimu uliopita kila mwenye macho alikua anaona mapungufu ya arsenal,mpk wachezaji wenyewe wakawa wanasema wanahitaji kuongezewa nguvu (refer cazorla), but wenger kama kawaida yake ni kutia pamba masikioni tu.
Leo ligi imeanza mechi ya tatu tumeshaachwa pointi 5 na gd 9 na mancity,hata kama tutajidanganya bado mapema ukweli ni kwamba arsenal haina ubora wowote wa kushindana na mancity na chelsea msimu huu labda itokee miujiza.
napingana na ww kwa sababu hata hao chelsea na sisi idadi ya point ni ile ile na goal difference yao ni ndogo ukilinganisha na yetu sasa ni kipi hasa kinachowapa advantage zaidi yetu dhidi ya city
..consistency; hapo tu,am sorry bt nna hakika arsenal wanaelekea watapoteza points nyingi zaidi ya chelsea na mancity..game ya juzi cech katuokoa ryt but anapata assistance gani toka kwa kosc na mert.?,vp issue ya majeruhi kila msimu lazima wachezaji waende kutibiwa,Wilshere ht kbl msimu kuanza keshaumia,rosicky sawa sio wa kikosi cha kwanza but nae majeruhi...hata matatizo hua yanajirudia kila msimu but wenger as usual hataki ku address haya mambo.Tazama kikosi cha mancity thn watazame chelsea kweli tunaweza shindana nao..??
unajua kila timu ina sehemu ambayo ndo msingi wa timu, chelsea msingi wao ni defence, man city ni sticking force na arsenal ni midfield mkuu....nafikiri katika misimu yote niliowahi kuitizama arsenal nadhani huu ndo msimu nnaoona tuna wachezaji weng ambao n complete & competitive kwenye midfield area hvyo nna matumaini makubwa sana na timu hii
believe mi jd41 kikosi hiki kitakuwa tishio mwaka huu
mancity wametuzidi kila idara mkuu,tuwe wakweli tu,juzi wamemuongeza Otamendi wakati tyr wanao mangala,kompany..kiungo cha mancity unaweza kukilinganisha na cha arsenal? kumbuka wamemuongeza sterling nw kamfanya david silva aonekane ku shine sababu kazungukwa na speed aliyokua anaitaka,bado wanataka kumuongeza de bruyne.!! thn plus aguero na bony.. baba sie tutabakia kupigania top four mpk Wenger aondoke arsenal..
#nowayout!
Umenitoa mbali herrera yani sikutegemea kama umenitag kwa hilo sikia nkwambie kitu kila mtu anamatazamio juu ya timu yake lakini kuhufaamu mpila ni ishu nyingine in fact kama hatuta sajili tutakula na shidaa kama ulivyo kwa man u au Chelsea wanavyosua sua....kiukweli shida tuliyonayo sisi ni holding midfielder,centre forward na centre back tu lakini kwa waliopo si haba Katika safu ya ulinzi shidaa kubwa ni striker tuu na holding midfielder si shidaa hivyo .... Lakini kwa man u wings haiko timamu kabisa hasa kushoto kule na mbele Rooney kachoka nasikia mnataka kumchezesha manywele sasa sijui itakuaje kingine kutokana na kukosa kasi kwa winger zenu mnawiwa vigumu kuweka impact kubwa(pengo la dimaria wazi wazi) so usinicheke wala usishangazwe kwa mtazamo wa mtu kawaida tu
..."shida tuliyonayo sisi ni holding midfielder,centre forward na centre back.."
you are spot on brother...
now unadhani Wenger anaweza jaza hizo nafasi tatu kwa muda uliobaki ili arsenal ilete ushindani? km hatasajili maana yake nn....
Last season mwz wa 10 au 11 tulishaondolewa kwny mbio za ubingwa,this season again wont make any difference it will be the same.Mechi tatu za kufungua msimu tyr hakuna anayeifikiria arsenal kuhusu ubingwa.
#yeswengerisnaive! anajiona yy ndio anajua zaidi ya dunia nzima..damn..
#wengerout!
ila mi nna mtazamo tofaut sana, nafkir we have a complete batch to win us a league....mark my words