xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
Tatizo lako harrera dogo sana na litakwisha kama si kuhama makazi kabisa watu wako serious
yaani mashabiki wa arsenal mnanishangaza sana wanaoijua arsenal wamekaa kimya ila wenzangu na Mimi thathaaaa! kikosi mlichonacho ndio hicho kilichoshindwa kuchukua msimu uliopita kisa mmemuongeza cech basi tayari ubingwa, hahaaaaa poor Wenger, msimu wa mwaka juzi muliongoza ligi kwa zaidi ya miezi miwili lakini kilipofika kipindi cha out for two months, mkaanza kuomba Everton apigwe ili muwe wa 4 , saizi hata ligi haijaanza mmeanza tena, ok mabingwa watarajiwa ngoja niwape hongera zenu mapemaaa mabingwa wetu.