Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

boxing-ko.jpg


Moureen kapigwa konde moja takatifu kaangukia kule kwenye cow shed
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Inaelekea vijiwe vyingine vimefungwa, haters wote wapo humu. Mtanyooka tu mwaka huu.
 

Mtakonda sana mwaka huu ... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee tetesi Reus na Benzima on the radar na mpunga tunao .... .. hatukopi kama mafioso .. ... ... patamu hapo Ding ... Dong
mkuu unanikosea heshima mimi nina MSN alf wewe wanitajia benzema eeechafyaaaaaaaaaaa utnipa mafua
 
Hahaaaaa, we jamaa mkorofi wewe, but hongereni sana wadau at least pambio za yule bi shosti mou zitapungua

nilikuja wapongeza kwan wanpigaga kidoooogo soka safi kama la barca
 
Hongereni kwa kuwa mabingwa wa msahani(sinia) uswahilini kama lile tunalia pilau .........
 
"Ten years ago, it was Chech with Chelsea who beat Arsenal and Fabregas to lift up the Community Shield.. Today, it's Chech with Arsenal whom, they beat Chelsea with Fabregas.." Watangazaji wagomvi..!!
 
Cech mate three competition three medals and still counting .... .... .... . watajuta pay back time ... ... ... . . whos better Cash Cole or Cesc .... .... ..

Kuna watu walitegemea hii klabu haita-recover toka katika financial crisis iliyosababishwa na uwanja mpya. Miaka hii 2 au 3 tumeona jinsi gani long term plan inavyoanza kutoa matunda. Hatujauza au kukimbiwa na mchezaji tegemeo katika kipindi hicho kama ilivyokuwa awali. Kila msimu Arsenal wamenunua mchezaji mzuri na mzoefu anayeongeza ufundi katika timu. Vile vile katika kipindi hicho(misimu 2) tumeona jinsi timu nyingine (Man Utd na Liverpool) zinavyopoteza mwelekeo kidogo kidogo, wachezaji wao wazuri wanaanza kuangalia usawa mpya
 
hatimaye wenger amefanikiwa kumla kibudu mourinho, pia nimependa alivyo kimbia kupeana mkono naye
 
coquelin anazidi kutudhirishia kuwa hatuna haja ya kusajili offensive midfielder. Ila ningependa mzee atushushie world class striker
 
Kuna watu walitegemea hii klabu haita-recover toka katika financial crisis iliyosababishwa na uwanja mpya. Miaka hii 2 au 3 tumeona jinsi gani long term plan inavyoanza kutoa matunda. Hatujauza au kukimbiwa na mchezaji tegemeo katika kipindi hicho kama ilivyokuwa awali. Kila msimu Arsenal wamenunua mchezaji mzuri na mzoefu anayeongeza ufundi katika timu. Vile vile katika kipindi hicho(misimu 2) tumeona jinsi timu nyingine (Man Utd na Liverpool) zinavyopoteza mwelekeo kidogo kidogo, wachezaji wao wazuri wanaanza kuangalia usawa mpya

naona unajipa moyo kupitia utd, wachezaji wazuri kuondoka utd hawajaanza leo wala Jana, ronaldo katika ubora wake, beck, RvN kwahyo usijipoze kuondoka kwa di Maria ukajiwka level moja na utd watu watakushangaa. pia haya mafanikio yakuchukua ngao ya hisani yasukuchanganye ukadhani umefika bado unasafari ndefu sana to premier league. maana nikaugonjwa kenu sugu kuongoza ligi miezi mitatu bdy unakua 4th contender.
Napita tu japokua mmenifurahisha kunibamizia kale kajamaa.
 
coquelin anazidi kutudhirishia kuwa hatuna haja ya kusajili offensive midfielder. Ila ningependa mzee atushushie world class striker

Coquelin ni Defensive midfielder na jana alicheza vizuri sana still mnahitaji back up yake na striker kama Benzema
 
Hahahaaaa mami na wew ni ase8 hahahaaa hongereni kwa kupata kombe la sahani..
Wenger nomaaa...
Cc. ENZO
Mimi nilidhani baada ya wewe kujua mimi ni Arsenal fan utakimbia uogope hata kujigamba kumbe ni tofauti!
Haya mama mimi ni Arse8 lakini mwenzio nimenyanyua kwapa kila msimu (FA & community shield)....vipi wewe mzee wa mchangani a.k.a Europa?
Teh Teh Teh
 
Last edited by a moderator:
Mimi nilidhani baada ya wewe kujua mimi ni Arsenal fan utakimbia uogope hata kujigamba kumbe ni tofauti!
Haya mama mimi ni Arse8 lakini mwenzio nimenyanyua kwapa kila msimu (FA & community shield)....vipi wewe mzee wa mchangani a.k.a Europa?
Teh Teh Teh

Hahahaaaa kombe la sahani..
Mimi ni mtoto wa OT.
Sifa zake....
Club bora duniani.
Club yenye pesa.
Tunaongoza kwa kuwa na makombe ya ushindi mengi kuliko club yoyote.
Tuliwafunga arsenal 8-2
Usajili tuliofanya ni bab kubwa hadi wenger na mourin wamebaki midomo wazi.
Tumewafunga barca juzi kweny pre season.. cc PNC 1.
Haijawahi kutokea arsenal kutufunga (hahahaaa)
Liverpool wanatuchukia ili wapande daraja cc. DONNGO.
GGGMU
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa kombe la sahani..
Mimi ni mtoto wa OT.
Sifa zake....
Club bora duniani.
Club yenye pesa.
Tunaongoza kwa kuwa na makombe ya ushindi mengi kuliko club yoyote.
Tuliwafunga arsenal 8-2
Usajili tuliofanya ni bab kubwa hadi wenger na mourin wamebaki midomo wazi.
Tumewafunga barca juzi kweny pre season.. cc PNC 1.
Haijawahi kutokea arsenal kutufunga (hahahaaa)
Liverpool wanatuchukia ili wapande daraja cc. DONNGO.
GGGMU

Nani awachukie nyie mababu united cc ENZO
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom