Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,409
- 82,301
Mhhhh, ngoja nikae kimya tu kulinda heshima maana naweza chafua hali ya hewa hapa sasa hivi....Hahahaaaa kombe la sahani..
Mimi ni mtoto wa OT.
Sifa zake....
Club bora duniani.
Club yenye pesa.
Tunaongoza kwa kuwa na makombe ya ushindi mengi kuliko club yoyote.
Tuliwafunga arsenal 8-2
Usajili tuliofanya ni bab kubwa hadi wenger na mourin wamebaki midomo wazi.
Tumewafunga barca juzi kweny pre season.. cc PNC 1.
Haijawahi kutokea arsenal kutufunga (hahahaaa)
Liverpool wanatuchukia ili wapande daraja cc. DONNGO.
GGGMU
Last edited by a moderator: