Arsenal bado wapo kwenye dirisha la usajili na huenda wakasajili wachezaji wawili muhimu.
Kama Arsenal watashindwa kumsajili Karim Benzema basi wana mchezaji mwingine ambae ni siri na hatatajwa kwa sasa.
Ila kwa sasa ni wachezaji wawili ambao wapo kwenye meza ya jamaa anaeshughulika na usajili wa wachezaji na kufanya mazungumzo yote bwana Richard Law na akina Gazidiz wanataka kuhakikisha kuhakikisha tunafanya usajili wa nguvu kabla ya dirisha halijafungwa rasmi.
Kumekucha na mkurugenzi wa Arsenal Lord Harris ameitikisa London leo kwa kukiri hadharani kwamba Arsenal wana kiasi cha paundi milioni 200 kwenye akaunti benki kama "cash reserve".
Isitoshe mheshimiwa huyo Lord Harris mwenye umri wa miaka 72 amesema kwamba Arsenal katika kipindi hiki cha usajili, ina uwezo wa kumsajili mchezaji yoyote yule imtakaye isipokuwa Criatiano Ronaldo na Lionel Messi.
Katika mahojiano maalum na waandishi wa habari yaliyofanyika ofisini kwake Alhamisi mchana mzee Lord Harris amesema tayari bodi ya wakurugenzi wana orodha ya wachezaji ambao Arsene Wenger anataka kuwasajili na baadhi yao wakiwa ni washambuliaji, huku akibabaika kuthibitisha kwamba mmoja wa wachezaji hao ni Karim Benzema.
Akiendelea kuelezea hilo alisema mwanzo namnukuu kwa kiingereza, "We get the list of players that Arsene wants," alisema, mwisho wa kunuku. Mzee Lord Harris aliendelea, namnukuu, "On the list is the centre forward, but I'm not going to tell you who he is, but I think he wants to come", alimaliza mwisho wa kunukuu.
Akifafanua kuhusu hilo la mshambuliaji huyo ambae ni siri kwa sasa, mzee Lord Harris alisema namnukuu, "it basically comes down to whether the other team can find a superstar to replace him" mwisho wa kunukuu.
Nikitolea msisitizo point hii nilieleza juzi kwamba Real Madrid wanasita kumwachia Karim Benzema ingawa tayari wana Ronaldo na Rodriguez ambao ni washambuliaji wa mwisho akiwa ndie wa kati pekee atakaebakia.
Pia mshambualaji mwingine ambae ni hatari kabisa anaesemekana yumo kwenye hio orodha ya Wenger ni Piere -Emerick Aubameyang ambae ni mchezaji wa kimataifa wa Gabon na Borrusia Dortmund ya Germany.
Aubameyang anaweza kugombewa pia na watani wetu wa jadi Tottenham Hotspur lakini Borrusia wamekataa dau la paundi milioni 30 lililowekwa mezani na Arsenal siku mbili zilizopita wakisisitiza kwamba mshambuliaji huyo ni moja ya mali kubwa sana waliyo nayo.
Pia timu ya PSG ya France nayo imeingia kwenye kinyang'anyiro cha kutaka kumsajili Aubameyang ambae huko nyuma akiwahi kuchezea timu ya Saint- Etienne pia ya France.
Lakini habari zilizozagaa nchini Spain ni kwamba Benzema haoni tatizo kwenda Emirates na yupo tayari isipokuwa tu kama atapatikana mchezaji mwingine ambae ana umaliziaji mzuri.
Hivyo hili la mzee Lord Harris kwamba Arsenal tuna pesa benki na kwamba hatutoi tu hundi kiholela linathibitisha kauli zangu zingi huko nyuma kwamba pesa ipo.
Bajeti ya mwaka huu ni paundi milioni 50 hivyo ina-cover kabisa ada ya Benzema na Aubameyang.
Kumekucha na mkurugenzi wa Arsenal Lord Harris ameitikisa London leo kwa kukiri hadharani kwamba Arsenal wana kiasi cha paundi milioni 200 kwenye akaunti benki kama "cash reserve".
Isitoshe mheshimiwa huyo Lord Harris mwenye umri wa miaka 72 amesema kwamba Arsenal katika kipindi hiki cha usajili, ina uwezo wa kumsajili mchezaji yoyote yule imtakaye isipokuwa Criatiano Ronaldo na Lionel Messi.
Katika mahojiano maalum na waandishi wa habari yaliyofanyika ofisini kwake Alhamisi mchana mzee Lord Harris amesema tayari bodi ya wakurugenzi wana orodha ya wachezaji ambao Arsene Wenger anataka kuwasajili na baadhi yao wakiwa ni washambuliaji, huku akibabaika kuthibitisha kwamba mmoja wa wachezaji hao ni Karim Benzema.
Akiendelea kuelezea hilo alisema mwanzo namnukuu kwa kiingereza, "We get the list of players that Arsene wants," alisema, mwisho wa kunuku. Mzee Lord Harris aliendelea, namnukuu, "On the list is the centre forward, but I'm not going to tell you who he is, but I think he wants to come", alimaliza mwisho wa kunukuu.
Akifafanua kuhusu hilo la mshambuliaji huyo ambae ni siri kwa sasa, mzee Lord Harris alisema namnukuu, "it basically comes down to whether the other team can find a superstar to replace him" mwisho wa kunukuu.
Nikitolea msisitizo point hii nilieleza juzi kwamba Real Madrid wanasita kumwachia Karim Benzema ingawa tayari wana Ronaldo na Rodriguez ambao ni washambuliaji wa mwisho akiwa ndie wa kati pekee atakaebakia.
Pia mshambualaji mwingine ambae ni hatari kabisa anaesemekana yumo kwenye hio orodha ya Wenger ni Piere -Emerick Aubameyang ambae ni mchezaji wa kimataifa wa Gabon na Borrusia Dortmund ya Germany.
Aubameyang anaweza kugombewa pia na watani wetu wa jadi Tottenham Hotspur lakini Borrusia wamekataa dau la paundi milioni 30 lililowekwa mezani na Arsenal siku mbili zilizopita wakisisitiza kwamba mshambuliaji huyo ni moja ya mali kubwa sana waliyo nayo.
Pia timu ya PSG ya France nayo imeingia kwenye kinyang'anyiro cha kutaka kumsajili Aubameyang ambae huko nyuma akiwahi kuchezea timu ya Saint- Etienne pia ya France.
Lakini habari zilizozagaa nchini Spain ni kwamba Benzema haoni tatizo kwenda Emirates na yupo tayari isipokuwa tu kama atapatikana mchezaji mwingine ambae ana umaliziaji mzuri.
Hivyo hili la mzee Lord Harris kwamba Arsenal tuna pesa benki na kwamba hatutoi tu hundi kiholela linathibitisha kauli zangu zingi huko nyuma kwamba pesa ipo.
Bajeti ya mwaka huu ni paundi milioni 50 hivyo ina-cover kabisa ada ya Benzema na Aubameyang.
Kumekucha na mkurugenzi wa Arsenal Lord Harris ameitikisa London leo kwa kukiri hadharani kwamba Arsenal wana kiasi cha paundi milioni 200 kwenye akaunti benki kama "cash reserve".
Isitoshe mheshimiwa huyo Lord Harris mwenye umri wa miaka 72 amesema kwamba Arsenal katika kipindi hiki cha usajili, ina uwezo wa kumsajili mchezaji yoyote yule imtakaye isipokuwa Criatiano Ronaldo na Lionel Messi.
Katika mahojiano maalum na waandishi wa habari yaliyofanyika ofisini kwake Alhamisi mchana mzee Lord Harris amesema tayari bodi ya wakurugenzi wana orodha ya wachezaji ambao Arsene Wenger anataka kuwasajili na baadhi yao wakiwa ni washambuliaji, huku akibabaika kuthibitisha kwamba mmoja wa wachezaji hao ni Karim Benzema.
Akiendelea kuelezea hilo alisema mwanzo namnukuu kwa kiingereza, "We get the list of players that Arsene wants," alisema, mwisho wa kunuku. Mzee Lord Harris aliendelea, namnukuu, "On the list is the centre forward, but I'm not going to tell you who he is, but I think he wants to come", alimaliza mwisho wa kunukuu.
Akifafanua kuhusu hilo la mshambuliaji huyo ambae ni siri kwa sasa, mzee Lord Harris alisema namnukuu, "it basically comes down to whether the other team can find a superstar to replace him" mwisho wa kunukuu.
Nikitolea msisitizo point hii nilieleza juzi kwamba Real Madrid wanasita kumwachia Karim Benzema ingawa tayari wana Ronaldo na Rodriguez ambao ni washambuliaji wa mwisho akiwa ndie wa kati pekee atakaebakia.
Pia mshambualaji mwingine ambae ni hatari kabisa anaesemekana yumo kwenye hio orodha ya Wenger ni Piere -Emerick Aubameyang ambae ni mchezaji wa kimataifa wa Gabon na Borrusia Dortmund ya Germany.
Aubameyang anaweza kugombewa pia na watani wetu wa jadi Tottenham Hotspur lakini Borrusia wamekataa dau la paundi milioni 30 lililowekwa mezani na Arsenal siku mbili zilizopita wakisisitiza kwamba mshambuliaji huyo ni moja ya mali kubwa sana waliyo nayo.
Pia timu ya PSG ya France nayo imeingia kwenye kinyang'anyiro cha kutaka kumsajili Aubameyang ambae huko nyuma akiwahi kuchezea timu ya Saint- Etienne pia ya France.
Lakini habari zilizozagaa nchini Spain ni kwamba Benzema haoni tatizo kwenda Emirates na yupo tayari isipokuwa tu kama atapatikana mchezaji mwingine ambae ana umaliziaji mzuri.
Hivyo hili la mzee Lord Harris kwamba Arsenal tuna pesa benki na kwamba hatutoi tu hundi kiholela linathibitisha kauli zangu zingi huko nyuma kwamba pesa ipo.
Bajeti ya mwaka huu ni paundi milioni 50 hivyo ina-cover kabisa ada ya Benzema na Aubameyang.
Kumekucha na mkurugenzi wa Arsenal Lord Harris ameitikisa London leo kwa kukiri hadharani kwamba Arsenal wana kiasi cha paundi milioni 200 kwenye akaunti benki kama "cash reserve".
Isitoshe mheshimiwa huyo Lord Harris mwenye umri wa miaka 72 amesema kwamba Arsenal katika kipindi hiki cha usajili, ina uwezo wa kumsajili mchezaji yoyote yule imtakaye isipokuwa Criatiano Ronaldo na Lionel Messi.
Katika mahojiano maalum na waandishi wa habari yaliyofanyika ofisini kwake Alhamisi mchana mzee Lord Harris amesema tayari bodi ya wakurugenzi wana orodha ya wachezaji ambao Arsene Wenger anataka kuwasajili na baadhi yao wakiwa ni washambuliaji, huku akibabaika kuthibitisha kwamba mmoja wa wachezaji hao ni Karim Benzema.
Akiendelea kuelezea hilo alisema mwanzo namnukuu kwa kiingereza, "We get the list of players that Arsene wants," alisema, mwisho wa kunuku. Mzee Lord Harris aliendelea, namnukuu, "On the list is the centre forward, but I'm not going to tell you who he is, but I think he wants to come", alimaliza mwisho wa kunukuu.
Akifafanua kuhusu hilo la mshambuliaji huyo ambae ni siri kwa sasa, mzee Lord Harris alisema namnukuu, "it basically comes down to whether the other team can find a superstar to replace him" mwisho wa kunukuu.
Nikitolea msisitizo point hii nilieleza juzi kwamba Real Madrid wanasita kumwachia Karim Benzema ingawa tayari wana Ronaldo na Rodriguez ambao ni washambuliaji wa mwisho akiwa ndie wa kati pekee atakaebakia.
Pia mshambualaji mwingine ambae ni hatari kabisa anaesemekana yumo kwenye hio orodha ya Wenger ni Piere -Emerick Aubameyang ambae ni mchezaji wa kimataifa wa Gabon na Borrusia Dortmund ya Germany.
Aubameyang anaweza kugombewa pia na watani wetu wa jadi Tottenham Hotspur lakini Borrusia wamekataa dau la paundi milioni 30 lililowekwa mezani na Arsenal siku mbili zilizopita wakisisitiza kwamba mshambuliaji huyo ni moja ya mali kubwa sana waliyo nayo.
Pia timu ya PSG ya France nayo imeingia kwenye kinyang'anyiro cha kutaka kumsajili Aubameyang ambae huko nyuma akiwahi kuchezea timu ya Saint- Etienne pia ya France.
Lakini habari zilizozagaa nchini Spain ni kwamba Benzema haoni tatizo kwenda Emirates na yupo tayari isipokuwa tu kama atapatikana mchezaji mwingine ambae ana umaliziaji mzuri.
Hivyo hili la mzee Lord Harris kwamba Arsenal tuna pesa benki na kwamba hatutoi tu hundi kiholela linathibitisha kauli zangu zingi huko nyuma kwamba pesa ipo.
Bajeti ya mwaka huu ni paundi milioni 50 hivyo ina-cover kabisa ada ya Benzema na Aubameyang.
Wakuu, naona mambo yapo kwenye hatua ya muhimu sana kwa sasa kwenye usajili.
Hadi sasa Real Madrid wanagoma kumtoa Karim Benzema mpaka watakapopata mchezaji mbadala wake.
Borrusia Dortmund nao wanagoma kumtoa Pierre- Emerick Aubameyang kwa sababu hiohio kwamba itakuwa ngumu kumpata mshambuliaji mwingine mahiri.
Hata hivyo kwa sisi wapenzi wa Arsenal tayari tumemgundua mchezaji ambae jana mzee Lord Harris alisita kumtaja kwamba yumo kwenye orodha ya Arsene Wenger kwamba ni mbadala wa Karim Benzema ikiwa dili litashindwa kukamilika.
Sasa ukiangalia opitons zote za Arsenal kwenye dirisha la usajili wa washambuliaji, ukiondoa sehemu ya kiungo ambayo Mathieu Flamini ameondoka hivyo kuhitajika kiungo mwingine, kuna washambuliaji wafuatao ambapo mmoja wao ndie atakesajiliwa na Arsenal kabla ya dirisha kufungwa rasmi hapo tarehe 31 August 2015.
1. Karim Benzema
Huyu ndie chaguo la kwanza la Arsene Wenger na Arsenal wameweka mezani paundi milioni 31 ambazo raisi wa timu hiyo Florentino Perez bado anakuna kichwa kumwachia Benzema.
Benzema ni mshambuliaji alikamilika (complete striker) na ni mmaliziaji mzuri. na miaka 27 na ni raia wa France. Thamani yake kwa upande wa Real Madrid ni paundi milioni 35.
2. Robert Lewandowsky
Huyu ni mbadala wa Benzema ikiwa dili la Benzema litashindwa ambae ndie jina lake limekuwa likifichwa lakini limegundulika. Lewandowsky ana umri wa miaka 27 na ni raia wa Poland, kwa sasa ni mshambuliaji wa Bayern Munich ya Germany na pia ni nahodha wa timu ya taifa ya Poland. Mchezaji huyu anagharimu kiasi cha paundi milioni 37.
3. Pierre -Emerick Aubameyang
Huyu Arsenal wameweka mezani paundi milioni 30 na Dortmund wamekataa. Aubameyang ana umri wa miaka 26 na ni pia mshambuliaji wa timu ya taifa ya Gabon. Aubameyang ana mbio na takwimu zinaonesha anakimbia kwa kasi ya mita 30 kwa kutumia sekunde 3.7 Aubameyanga ana uwezo wa kucheza nafasi ya ushambuliaji wa kati au pembeni.
4.Fernando Llorente
Huyu Arsenal wameuliza kwa Juventus ikiwa yupo available na Juve wanaweza kumwachia aende Arsenal hasa baada ya kumsajili Mario Mandzukic kutoka Athletico Madrid. Hata hivyo bado Arsenal hawajarudi kuweka "offer" mezani. Llorente anagharimu kama paundi milioni 9 hivi.
Hivyo basi tunasubiri kuona Arsene Wenger akikamilisha usajili wa wachezaji wawili muhimu kwenye nafasi za kiungo na ushambuliaji msimu huu.
Wakuu, naona mambo yapo kwenye hatua ya muhimu sana kwa sasa kwenye usajili.
Hadi sasa Real Madrid wanagoma kumtoa Karim Benzema mpaka watakapopata mchezaji mbadala wake.
Borrusia Dortmund nao wanagoma kumtoa Pierre- Emerick Aubameyang kwa sababu hiohio kwamba itakuwa ngumu kumpata mshambuliaji mwingine mahiri.
Hata hivyo kwa sisi wapenzi wa Arsenal tayari tumemgundua mchezaji ambae jana mzee Lord Harris alisita kumtaja kwamba yumo kwenye orodha ya Arsene Wenger kwamba ni mbadala wa Karim Benzema ikiwa dili litashindwa kukamilika.
Sasa ukiangalia opitons zote za Arsenal kwenye dirisha la usajili wa washambuliaji, ukiondoa sehemu ya kiungo ambayo Mathieu Flamini ameondoka hivyo kuhitajika kiungo mwingine, kuna washambuliaji wafuatao ambapo mmoja wao ndie atakesajiliwa na Arsenal kabla ya dirisha kufungwa rasmi hapo tarehe 31 August 2015.
1. Karim Benzema
Huyu ndie chaguo la kwanza la Arsene Wenger na Arsenal wameweka mezani paundi milioni 31 ambazo raisi wa timu hiyo Florentino Perez bado anakuna kichwa kumwachia Benzema.
Benzema ni mshambuliaji alikamilika (complete striker) na ni mmaliziaji mzuri. na miaka 27 na ni raia wa France. Thamani yake kwa upande wa Real Madrid ni paundi milioni 35.
2. Robert Lewandowsky
Huyu ni mbadala wa Benzema ikiwa dili la Benzema litashindwa ambae ndie jina lake limekuwa likifichwa lakini limegundulika. Lewandowsky ana umri wa miaka 27 na ni raia wa Poland, kwa sasa ni mshambuliaji wa Bayern Munich ya Germany na pia ni nahodha wa timu ya taifa ya Poland. Mchezaji huyu anagharimu kiasi cha paundi milioni 37.
3. Pierre -Emerick Aubameyang
Huyu Arsenal wameweka mezani paundi milioni 30 na Dortmund wamekataa. Aubameyang ana umri wa miaka 26 na ni pia mshambuliaji wa timu ya taifa ya Gabon. Aubameyang ana mbio na takwimu zinaonesha anakimbia kwa kasi ya mita 30 kwa kutumia sekunde 3.7 Aubameyanga ana uwezo wa kucheza nafasi ya ushambuliaji wa kati au pembeni.
4.Fernando Llorente
Huyu Arsenal wameuliza kwa Juventus ikiwa yupo available na Juve wanaweza kumwachia aende Arsenal hasa baada ya kumsajili Mario Mandzukic kutoka Athletico Madrid. Hata hivyo bado Arsenal hawajarudi kuweka "offer" mezani. Llorente anagharimu kama paundi milioni 9 hivi.
Hivyo basi tunasubiri kuona Arsene Wenger akikamilisha usajili wa wachezaji wawili muhimu kwenye nafasi za kiungo na ushambuliaji msimu huu.
Pamoja sana mkuu Richard binafsi nadhan endapo akisajiliwa mmoja kati ya jamaa watatu wa juu yaan Benzema, Aubemeyang au Lewandowosk itakuwa poa na utakuwa ni usajili utakao imarisha timu si kwa msimu huu tu bali hata kwa misimu kadhaa ijayo. kwa upande wa Lloriente naona ye umri umesonga.
Pamoja sana mkuu Richard binafsi nadhan endapo akisajiliwa mmoja kati ya jamaa watatu wa juu yaan Benzema, Aubemeyang au Lewandowosk itakuwa poa na utakuwa ni usajili utakao imarisha timu si kwa msimu huu tu bali hata kwa misimu kadhaa ijayo. kwa upande wa Lloriente naona ye umri umesonga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.